Mimi na mke wangu tulikuwa tunaongea na mtoto wetu tuliyempeleka English kozi kuhusiana na umuhimu wanelimu/kusoma. Mazumgumzo yetu yalikuwa hivi.
MKE WANGU: mwanangu mimi najuta kwa nini sikusoma shule yaani natamani nirudi udogoni ili nipate kusoma. Yaani ungekuwa unajua jinsi ninavyoona wivu nimwonapo mtu anaongea kiingereza.....
MTOTO WETU: Kwa hiyo mama mtu hawezi kuongeza kiingereza bila kwenda shule?
MIMI: Atawezea wapi......
MTOTO WETU: Mbona Kila siku usiku mama anaongea kiingereza anasema " Ooh fu**k, yes, yes, ooh yes. Ooh my god.....".
Haya maneno mama kayajofunzia wapi?
Duh! nililoa mwili mzima nikabadili mada juu kwa juu kwani wazazi wangu walikuwepo.
Hawa watoto kwa kwa kuaibisha.