Tukio gani ukilikumbuka unacheka tu mwenyewe?

unanikumbusha nilivyokuwa advance NGUDU secondary kuna ticha wa nidhamu anaitwa KWIBO aliwahi fanya hiyo akadaka wanafunzi wengi mimi ponea yangu nilivvua nguo zote nikazitundika nje ya choo nikabaki na boxer nikazama toilet..paranja lllikapita wakatolewa wote maana walikua hawako kimkao wa kujisaidia wakabbaki wananisubiri mwama nitoke 😂 .hawakuamini natoka na bboxer yangu nikapitia shati na suruali yangu nikatembea nikawaacha wanakula fito🤣 huku ticha wa nidhamu anasema kijana wahi darasani naona ulikua na kazi nzito😂😂
 
Mambo ya math bana

Darasa letu lilikua na watukutu sana mpaka mademu walipimda unakuta wako chimbo wameji mix na masela kukwepa pindi la math, ukienda darasani unakuta watu 20 hawafi

Teacher wa math alikua peace sana alikua very charming lakini asilimia kubwa ya wanafunzi tulilichukia somo ila tulimpenda mwalimu

Sasa siku moja akaingia darasani akasema leo sifundishi nataka niwa encourage muanze kupenda maths

Teacher akamuuliza mshkaji "kwa mfano hapo scars nini kinachokufanya usipende hesabu?"

Msela akasema "wabunifu wa hesabu hawakutaka tufaulu wengi na ndio maana wakaweka vikwazo ambavyo vinapingana na uhalisia"

Mwalimu akauliza "vikwazo gani?"

Mchizi akasema "Nimefanya quiz wiki iliyopita halafu karatasi inakuja eti nimekosa zote hadi hesabu za makadirio nazo nimekosa.

Makadirio maana yake ni kukisia, kubahatisha hakuna jibu la uhakika na ndio maana yameitwa makadirio

sasa nimekadiria lakini karatasi imekuja eti nimekosa, inakuwaje hapo teacher?
 
Kwenye draft sasa nilimkuta mzee wa makamo anacheza na kijana, yule mzee alikua ni mchungaji dogo alikua understanding hakua anamtolea lugha kali

Ikafika wakati pastor amebanwa anatafuta kete ya kucheza haioni, yule kijana akamuambia mzee cheza bao yesu anaponya ndio ila sio kwenye mabao
 
Hii ya mabibo!! ume!!!tupiga za mbavu dogo!! soko la Karume na route za Mabibo wapi na wapi tena basi mwaka 208 weweee dogo!! nimekaa Ilala Boma na mabibo jeshini miaka kibao!!!! soko la karume pale hakuna mtaro wa kutisha mtu muzima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…