Tukio hili lililonitokea miaka ile lilinisononesha na kunihuzunisha sana

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Nakumbuka tulivyokuwa darasa la tatu mwalimu wa sayansi kimu alituambia tulete jiko na sufulia mie nikachagua kuleta sufulia nikaleta sufulia kubwa kwa maesabu yangu tutapika chakula kitabaki nitaonsoka nacho home kufika muda wa kupika walimu alitufundisha jinsi ya kuchemsha maji ya kunywa nilikasilika sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…