Tukio hili linaonyesha ni jinsi gani wenzetu wako civilised na kwamba watawala Ulaya sio miungu watu kama huku kwetu na hii Tulia Ackson inamhusu

Tukio hili linaonyesha ni jinsi gani wenzetu wako civilised na kwamba watawala Ulaya sio miungu watu kama huku kwetu na hii Tulia Ackson inamhusu

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Tulia Ackson unaamini Raisi wa nchi yetu hastahili kunyooshwa kidole, ona hii clip ya kilichotokea huko Uingereza kwenye Jumba la Waziri Mkuu uone jinsi dola ilivyojitenga na siasa na wanasiasa hata pale Waziri Mkuu anapopigwa kwa kukejeliwa na wananchi wa kawaida (sio Bunge wala wabunge).



Hapo ni London nje ya Geti la 10 Downing Street kwa Waziri Mkuu. Wananchi wameamua kunfanyia PARTY nje kwa kumkejeli kuwa kavunja SHERIA kwa kufanya party wakati wa Corona. Hakuna aliyepigwa wala kukamatwa na Polisi. Jaribu Tanzania utapigwa kipigo cha MBWA.

 
Niki-copy na ku-paste hiyo video,inaleta kile kinachojulikana kama "hot linking
", kitu ambacho hapa JF hakiruhusiwi(hii kitu huwa sielewi logic yake kwanini wanazuia).
Ngoja nikusaidie Salary Slip, video yenyewe hii hapa...



Wabunge wanamjadili Mkuu wao wa Serikali alivyo mjinga naye yupo anasikiliza! Kwa hapa kwetu siku hiyo hata FFU wangetinga ndani ya hilo bunge!

(Bahati mbaya, kwa sababu ya lugha, chawa hawataambulia kitu hapa!)

Na hapa wananchi wameamua kukusanyika nje ya jumba anakoishi na kumvurumishia kejeli na dharau bila bughdha yoyote ile...hiyo ndiyo siasa! Hebu angalieni...




Ingekuwa hapa siku hiyo sijui wananchi wangapi wangepoteza maisha mikononi mwa polisi hawa wetu wenye kiu ya damu za Watanzania wanaoonesha tu hisia zao za kutokubaliana na hawa miunguwatu wetu!
 
Mwafrika ni waroho wa madaraka
Hao hao wazungu wametujengea tuwe na roho za namna hii ili waendelee kututawala.

Kamwe hawawezi kukupa njia ya kusadikishana ambapo wanajua mnapokosana wao wanatumia advantage ya mmojawapo kumpa msaada ili akumalize wewe.

Hiyo ndiyo inaApply mpaka kwa viongozi wa kisiasa, dini, ndugu mpaka marafiki.
 
Tulia kale kanyakyusa kenye sura mbaaaayaaaaaa kama kachawi ka usiku?
Dah mkuu umeandika ukiwa serious imetoka moyoni siyo matani. Nimeumia sana japo siwapendi kijani. Usingemtukana hivyo chalyangu aseeh!
 
Hao hao wazungu wametujengea tuwe na roho za namna hii ili waendelee kututawala.

Kamwe hawawezi kukupa njia ya kusadikishana ambapo wanajua mnapokosana wao wanatumia advantage ya mmojawapo kumpa msaada ili akumalize wewe.

Hiyo ndiyo inaApply mpaka kwa viongozi wa kisiasa, dini, ndugu mpaka marafiki.
Mtaacha lini visingizio vya ujinga wenu, kila kitu mnalaumu wazungu kwanini lakini???
 
Shukrani sana mkuu. Hawa wenzetu ndio maana wanaendelea.Kwao kuwa kiongozi sio kuwa Mungu mtu bali ni mtumishi wa watu tofauti kabisa na sisi.

Huku kina Lissu wakiwaeleza ukweli watawala, wanaonekana kama wahaini ,wakati kwenye hilo Bunge la Uingereza, Waziri Mkuu anapondwa utadhani ni mtu wa kawaida tu.

Tubadilike watanzania , viongozi sio malaika na waambiwe ukweli hata kama ni mchungu ndio tutasonga mbele.
 
Tulia Ackson unaemaini Raisi wa nchi yetu hastahili kunyooshwa kidole, ona hii clip ya kilichotokea huko Uingereza kwenye Jumba la Waziri Mkuu uone jinsi dola ilivyojitenga na siasa na wanasiasa hata pale Waziri Mkuu anapopigwa kwa kukejeliwa na wananchi wa kawaida(sio Bunge wala wabunge)...
Stupid and non sensical post.
 
Tulia kale kanyakyusa kenye sura mbaaaayaaaaaa kama kachawi ka usiku?

Watu wazima hujenga hoja na sio matusi!! Kila mtu sura hupewa na Mungu , sasa kama wewe sura Yako ni nzuri ni nzuri kwa hao wanaokupenda na kwa wengine wewe sura yako ni mbayaaaaaaaa!! " Beauty is in the eyes of the beholder!!"
 
Hao hao wazungu wametujengea tuwe na roho za namna hii ili waendelee kututawala.

Kamwe hawawezi kukupa njia ya kusadikishana ambapo wanajua mnapokosana wao wanatumia advantage ya mmojawapo kumpa msaada ili akumalize wewe.

Hiyo ndiyo inaApply mpaka kwa viongozi wa kisiasa, dini, ndugu mpaka marafiki.
Vitu kama hivyo havitakiwi kuwafarakanisha
 
Hao hao wazungu wametujengea tuwe na roho za namna hii ili waendelee kututawala.

Kamwe hawawezi kukupa njia ya kusadikishana ambapo wanajua mnapokosana wao wanatumia advantage ya mmojawapo kumpa msaada ili akumalize wewe.

Hiyo ndiyo inaApply mpaka kwa viongozi wa kisiasa, dini, ndugu mpaka marafiki.
Very poor excuse
Yani mpaka mzungu anakuwa na uwezo wa kutushawishi mabaya sisi wenyewe akili tunakuwa tumeweka wapi? Kwani hatuna uwezo wa kutambua baya na zuri?

Blacks hatujitambui ndo maana hata matatizo yetu ya msingi bado tunaamini tumesababishiwa .
 
Tulia Ackson unaemaini Raisi wa nchi yetu hastahili kunyooshwa kidole, ona hii clip ya kilichotokea huko Uingereza kwenye Jumba la Waziri Mkuu uone jinsi dola ilivyojitenga na siasa na wanasiasa hata pale Waziri Mkuu anapopigwa kwa kukejeliwa na wananchi wa kawaida(sio Bunge wala wabunge).

By Fatma Karume aka Shangazi kupitia twitter:

Hapa ni London nje ya Geti la 10 Downing Street kwa Waziri Mkuu. Wananchi wameamua kunfanyia PARTY nje kwa kumkejeli kuwa kavunja SHERIA kwa kufanya party wakati wa Corona. Hakuna aliyepigwa wala kukamatwa na Polisi. Jaribu Tanzania utapigwa kipigo cha MBWA.


Ila hawa viumbe weupe wajinga sana😅😅
 
Inamuhusu zaidi Rais fisadi anaehamasisha ufisadi kwenye serikali yake.
 
Back
Top Bottom