Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Tulia Ackson unaamini Raisi wa nchi yetu hastahili kunyooshwa kidole, ona hii clip ya kilichotokea huko Uingereza kwenye Jumba la Waziri Mkuu uone jinsi dola ilivyojitenga na siasa na wanasiasa hata pale Waziri Mkuu anapopigwa kwa kukejeliwa na wananchi wa kawaida (sio Bunge wala wabunge).
Hapo ni London nje ya Geti la 10 Downing Street kwa Waziri Mkuu. Wananchi wameamua kunfanyia PARTY nje kwa kumkejeli kuwa kavunja SHERIA kwa kufanya party wakati wa Corona. Hakuna aliyepigwa wala kukamatwa na Polisi. Jaribu Tanzania utapigwa kipigo cha MBWA.
Hapo ni London nje ya Geti la 10 Downing Street kwa Waziri Mkuu. Wananchi wameamua kunfanyia PARTY nje kwa kumkejeli kuwa kavunja SHERIA kwa kufanya party wakati wa Corona. Hakuna aliyepigwa wala kukamatwa na Polisi. Jaribu Tanzania utapigwa kipigo cha MBWA.