rama bendu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 310
- 220
Usiwe na hofu mdogo wangu utasikiza tu. Haya maisha kila mmoja na lakeHa ha ha... bora nisklze zangu ngoma nzuri hiyo ya AJE
bila Darasa haji mtu hapo.
Bro inabidi wasafi wakulipe kwa promo uliyowapigiaKaribu sana,maana nje ya muziki kutakuwa na matukio mengine yakifanyika,kama kuogelea na mapicha picha na watu mbalimbali.
Unadhani hawamlipi?Bro inabidi wasafi wakulipe kwa promo uliyowapigia
Ndomana hajajibu ila kazi nzuri anafanya kupambana na mashabiki wa kiba siyo kazi ndogoUnadhani hawamlipi?
Huwezi kuwa unafanya kazi ya kujitolea kama ndivyo basi waanze kukulipaMbona wananilipa,hebu cheki ngoma kali kama hii, sio malipo hayo ....???