AahaaaDuh..
Kama timu yako imefungwa 5. Achana na makasiriko.
Mngecheza soka achaneni na hujuma katika soka.Duh..
Kama timu yako imefungwa 5. Achana na makasiriko.
Mnajua wachezaji mliowarubuni mliwapa ngapi. Soka lilikuwa dk 45 za kipindi cha kwanza, kipindi cha pili yalikuwa maigizo.na nyie tuliwapa Pesa ngapi Budaaa
Yaani sasa hivi kwa akili za makolo kila Yanga akishinda itakuwa ni hujuma! Hivi kweli kama wewe my wetu tulikukanda 5-1 unategemea vitimu kama coastal ndivyo vimsimbue mme wenu?Tangu mchezo umeanza mwamuzi alionekana kupanic na kujaribu kuwatisha wachezaji wa coastal...
Mnajua wachezaji mliowarubuni mliwapa ngapi.
Soka lilikuwa dk 45 za kipindi cha kwanza,kipindi cha pili yalikuwa maigizo
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Mmekosa uvumilivu wa kimichezo kabisa... Yani Tano tu mnaweweseka wiki nzima. Mlikuwa mnakufa nane kima nyieTangu mchezo umeanza mwamuzi alionekana kupanic na kujaribu kuwatisha wachezaji wa Coastal.
Binafsi niliwaeleza wadau kuwa hii mechi ingemsababishia mwamuzi kuadhibiwa na yeye alionekana kuwa tayari kwa lolote mradi Yanga wapate pointi 3.
Kama wasingefunga goli lile, ilikuwa imeandaliwa penalty na mchezaji angalau mmoja wa Coastal kupewa kadi nyekundu.
Wengi tulijua tukio la Aucho lilistahili kuadhibiwa kwa kadi nyekundu, hatothubutu kuitoa kwa kuwa ameshalambishwa asali
Hapo kadi ingefutwa sasa kwa mchezaji wa yanga mate yangewatoka makoloCoastal union wana bahati kutokupata kadi nyekundu,
Kile kitendo cha refa kufuta kadi ya njano ya kwanza ya mchezaji wa coastal na kumuonesha njano nyingine alimpendelea mno maana ile ilikuwa yellow card ya pili na ni red card direct.
Mlipopigwa kono la nyani mlifanyiwa hujuma gani,yaani ushindwe wewe na timu yako kumfunga Yanga ndio uje kutegemea Coastal Union awape furaha kwa kumfunga Yanga? Tabuleeeee LaaaaaaaaaaMngecheza soka achaneni na hujuma katika soka.
Ninyi si chama cha siasa
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Acheni UpuuziTangu mchezo umeanza mwamuzi alionekana kupanic na kujaribu kuwatisha wachezaji wa Coastal.
Binafsi niliwaeleza wadau kuwa hii mechi ingemsababishia mwamuzi kuadhibiwa na yeye alionekana kuwa tayari kwa lolote mradi Yanga wapate pointi 3.
Kama wasingefunga goli lile, ilikuwa imeandaliwa penalty na mchezaji angalau mmoja wa Coastal kupewa kadi nyekundu.
Wengi tulijua tukio la Aucho lilistahili kuadhibiwa kwa kadi nyekundu, hatothubutu kuitoa kwa kuwa ameshalambishwa asali
Hiko kipindi cha kwanza ulishindwa nini kumfunga Yanga na ukumbuke wewe ndio ulichomoa goli bila kusahau hata umiliki wa mpira ulikuwa hoi bin taaban.Mnajua wachezaji mliowarubuni mliwapa ngapi. Soka lilikuwa dk 45 za kipindi cha kwanza, kipindi cha pili yalikuwa maigizo.
Hivi UMEANGALIA MPIRA KWELI au unaandika kishabiki tu.Tangu mchezo umeanza mwamuzi alionekana kupanic na kujaribu kuwatisha wachezaji wa Coastal.
Binafsi niliwaeleza wadau kuwa hii mechi ingemsababishia mwamuzi kuadhibiwa na yeye alionekana kuwa tayari kwa lolote mradi Yanga wapate pointi 3.
Kama wasingefunga goli lile, ilikuwa imeandaliwa penalty na mchezaji angalau mmoja wa Coastal kupewa kadi nyekundu.
Wengi tulijua tukio la Aucho lilistahili kuadhibiwa kwa kadi nyekundu, hatothubutu kuitoa kwa kuwa ameshalambishwa asali
Asante Kwa Uzi lakini umejaa ushabiki usio na faida Kwa soka letu.Tangu mchezo umeanza mwamuzi alionekana kupanic na kujaribu kuwatisha wachezaji wa Coastal.
Binafsi niliwaeleza wadau kuwa hii mechi ingemsababishia mwamuzi kuadhibiwa na yeye alionekana kuwa tayari kwa lolote mradi Yanga wapate pointi 3.
Kama wasingefunga goli lile, ilikuwa imeandaliwa penalty na mchezaji angalau mmoja wa Coastal kupewa kadi nyekundu.
Wengi tulijua tukio la Aucho lilistahili kuadhibiwa kwa kadi nyekundu, hatothubutu kuitoa kwa kuwa ameshalambishwa asali
Ndugu, nadhani siku nyingine ukiwa unaandika upende kushirikisha ubongo maana sidhani narudia sidhani kama AUCHO ni chizi aamue kumpiga kiwiko mchezaji mwenzake...Tangu mchezo umeanza mwamuzi alionekana kupanic na kujaribu kuwatisha wachezaji wa Coastal.
Binafsi niliwaeleza wadau kuwa hii mechi ingemsababishia mwamuzi kuadhibiwa na yeye alionekana kuwa tayari kwa lolote mradi Yanga wapate pointi 3.
Kama wasingefunga goli lile, ilikuwa imeandaliwa penalty na mchezaji angalau mmoja wa Coastal kupewa kadi nyekundu.
Wengi tulijua tukio la Aucho lilistahili kuadhibiwa kwa kadi nyekundu, hatothubutu kuitoa kwa kuwa ameshalambishwa asali