Binafsi niliwaeleza wadau kuwa hii mechi ingemsababishia mwamuzi kuadhibiwa na yeye alionekana kuwa tayari kwa lolote mradi Yanga wapate pointi 3.
Kama wasingefunga goli lile, ilikuwa imeandaliwa penalty na mchezaji angalau mmoja wa Coastal kupewa kadi nyekundu.
Wengi tulijua tukio la Aucho lilistahili kuadhibiwa kwa kadi nyekundu, hatothubutu kuitoa kwa kuwa ameshalambishwa asali