Jana Coastal wamecheza mpira wa hovyo sana, rafu zingine zilikuwa hatari na za nje nje kabisa.Coastal union wana bahati kutokupata kadi nyekundu,
Kile kitendo cha refa kufuta kadi ya njano ya kwanza ya mchezaji wa coastal na kumuonesha njano nyingine alimpendelea mno maana ile ilikuwa yellow card ya pili na ni red card direct.
ajibu alimkanyaga aucho kwa makusudiTangu mchezo umeanza mwamuzi alionekana kupanic na kujaribu kuwatisha wachezaji wa Coastal.
Binafsi niliwaeleza wadau kuwa hii mechi ingemsababishia mwamuzi kuadhibiwa na yeye alionekana kuwa tayari kwa lolote mradi Yanga wapate pointi 3.
Kama wasingefunga goli lile, ilikuwa imeandaliwa penalty na mchezaji angalau mmoja wa Coastal kupewa kadi nyekundu.
Wengi tulijua tukio la Aucho lilistahili kuadhibiwa kwa kadi nyekundu, hatothubutu kuitoa kwa kuwa ameshalambishwa asali
Jamaa wana mpira wa Kishamba mnoooo...Jana Coastal wamecheza mpira wa hovyo sana, rafu zingine zilikuwa hatari na za nje nje kabisa.
Coastal nadhani waliambiwa waumize wachezaji wa Yanga, maana ule sio mchezo.
Ndio Aucho ile ilikuwa red, ila Coastal kuna wachezaji si chini ya wawili walikuwa wanastahili umeme pia.
Ameongea kimichezo acha kujibu uharoDuh..
Kama timu yako imefungwa 5. Achana na makasiriko.
Ile first half Simba alipigishwa nusu uwanja.Hiko kipindi cha kwanza ulishindwa nini kumfunga Yanga na ukumbuke wewe ndio ulichomoa goli bila kusahau hata umiliki wa mpira ulikuwa hoi bin taaban.
watu wa infinix mna hoja sanaMngecheza soka achaneni na hujuma katika soka.
Ninyi si chama cha siasa
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Wakati timu yako inafungwa tano 🙋 unahisi ilihujumiwa wapi?Mngecheza soka achaneni na hujuma katika soka.
Ninyi si chama cha siasa
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Never attribute to malice that which is adequately explained by stupidity.Tangu mchezo umeanza mwamuzi alionekana kupanic na kujaribu kuwatisha wachezaji wa Coastal.
Binafsi niliwaeleza wadau kuwa hii mechi ingemsababishia mwamuzi kuadhibiwa na yeye alionekana kuwa tayari kwa lolote mradi Yanga wapate pointi 3.
Kama wasingefunga goli lile, ilikuwa imeandaliwa penalty na mchezaji angalau mmoja wa Coastal kupewa kadi nyekundu.
Wengi tulijua tukio la Aucho lilistahili kuadhibiwa kwa kadi nyekundu, hatothubutu kuitoa kwa kuwa ameshalambishwa asali
Mipira yetu, kivyetu vyetu...bora yeshe yakhe,ile kona ambayo Simba walipata goli Aucho alimpiga Kanoute sema attention ilikuwa simba wamepata goli.