Tukio la kihistoria: Marais kuishuhudia Yanga na Simba wakiwa lupango

Tukio la kihistoria: Marais kuishuhudia Yanga na Simba wakiwa lupango

Martin George

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,695
Reaction score
1,470
Haijawahi kutokea ila safari hii Manji na Aveva watausikia tu mtanange wa timu zao ama kupitia radio au luningani. Ahsante!
 
Simba wazee wa kulilia pwenti lazima kesho wakae...GGYANGA!
 
Upande wa Ndala FC ndo wamelaani mno maana Tifuatifua ilikuwa mali yao
 
Back
Top Bottom