Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wajinga wanaoshindia maandazi mawili na chai ya mruzi na visimu vyao vya laki 3 watakuja kusema ni scam ili marekani itawale dunia na kila kitu wanachofanya NASA ni fake na mabeberu hawaaminiki na wala haiwezekani na hakuna mtu aliyewahi kutoka nje ya usawa wa dunia sababu vitabu vya dini ambavyo havijafanya utafiti wowote Ukizingatia vimeandikwa mamia ya miaka iliyopita vimesema umbali wa kutoka duniani mpaka angani ni miaka 500.
Na negative africans watakuja soon.
Wanasema kuwa kufly helcopter mars ni changamoto kutokana na wembamba wa atmoshphere na ndo maana kina rotors nyingi. Pia huwezi kuicontrol in real time kutokana na umbali uliopo commands znachukua dakika si chini ya nane kufika huko hivyo inakuwa ni autopilotInaenda ku Crash nahisi hivyo