Kuna wajinga wanaoshindia maandazi mawili na chai ya mruzi na visimu vyao vya laki 3 watakuja kusema ni scam ili marekani itawale dunia na kila kitu wanachofanya NASA ni fake na mabeberu hawaaminiki na wala haiwezekani na hakuna mtu aliyewahi kutoka nje ya usawa wa dunia sababu vitabu vya dini ambavyo havijafanya utafiti wowote Ukizingatia vimeandikwa mamia ya miaka iliyopita vimesema umbali wa kutoka duniani mpaka angani ni miaka 500.
Na negative africans watakuja soon.