Tetesi: Tukio la kijiografia la mwezi mpevu sana (Supermoon) litatikea Nchini Tanzania siku ya Alhamisi tarehe 7/5/2020 saa 13:45

Tetesi: Tukio la kijiografia la mwezi mpevu sana (Supermoon) litatikea Nchini Tanzania siku ya Alhamisi tarehe 7/5/2020 saa 13:45

Mnapoteźa muda kwenye mambo ya kubahatisha
Huu uzi nimeuona wakati ambao huyo mkuu alisema kuwa Hilo tukio litatokea... Sio kwamba nilikuwa na subiri huo muda ufikie ili nishuhudie Hilo tukio.. Kwa hyo usiwe na pre judgement za kipuuzi.. Kulingana na akili yako inavyokutuma
 
Inafakamika kila baada ya miaka kadhaa kutokana na njia ya mwezi angani kuna wakati mwezi kupita karibu sana na na Dunia. Hali hiyo ya mwezi kupita karibu na Dunia ndiyo inayoitwa mwezi mpevu sana ambapo mwezi huonekana kwa karibu na kwa uku wa zaidi kuliko nyakati nyingine.

Tukio hili huambatana na kupewa na kujaa kwa maji, tsunami na milipuko ya kivolkano ingawa athari hizi bado zinafanyiwa tafiti zaidi.
hongera magufuli tunaona juhudi zako
 
Huu uzi nimeuona wakati ambao huyo mkuu alisema kuwa Hilo tukio litatokea... Sio kwamba nilikuwa na subiri huo muda ufikie ili nishuhudie Hilo tukio.. Kwa hyo usiwe na pre judgement za kipuuzi.. Kulingana na akili yako inavyokutuma
Sawa endelea kusubiri ubashiri utimie
 
Nimeuona,,mawingu yalikuwa yana reflect colour ya zambarau na yellow,,stupid me,nikasema ngoja niuangalie kwa macho😎 direct,,sasa macho yanauma,,🤕🤕
 
Kama hukufanikiwa kuona just calm down jioni angalia mwezi taratibu tu utaona.
 
Nimeuona,,mawingu yalikuwa yana reflect colour ya zambarau na yellow,,stupid me,nikasema ngoja niuangalie kwa macho😎 direct,,sasa macho yanauma,,🤕🤕
Mchana mwezi unakuwepo ila unapaswa kutumia vifaa kuangalia Rafiki.
Jioni tutaona vizuri jua likizama.
 
Jioni utaonekana vizuri zaidi tuwe na subira
 

Attachments

  • Screenshot_20200507-151517_Chrome.jpg
    Screenshot_20200507-151517_Chrome.jpg
    58.1 KB · Views: 1
Back
Top Bottom