Tetesi: Tukio la kijiografia la mwezi mpevu sana (Supermoon) litatikea Nchini Tanzania siku ya Alhamisi tarehe 7/5/2020 saa 13:45

Mwezi umekuwa ukihusisha na imani nyingi mno Duniani na hivyo tukio hili linaweza kuwa taashira kwenye masuala ya imani.

Sambamba na masuala hayo ya imani baadhi ya maandiko unahusisha mwezi mpevu sana na ongezeko la watoto Duniani " Baby boom".
Naomba hizo source mkuu unitumie pm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hadi shule zifunguliwe idadi ya wajawazito itaongezeka. Kuna kadenti yuko kidato cha 4 juzi kati kapimwa ana mimba ya wiki 4.
Mm nawafaham watatu tayar wana mimba yaan had corona iishe watarudi nusu..Vinashobo balaa
 
Any clue please
Geita bado kweupe hata kuku hawajaingia ndani muda huu.
 
Any one in Dar es Salaam to prove..
Hapa Geita umeanza kuonekana
 
me nimeona wingu zito kiasi hata nyota hazionekani
hahah ngoja niendelee kuangalia
 
Yaweza kuwa chanzo cha ziwa Victoria kufurika kuliko kawaida. 🤔
 
Binadamu wagumu sana kusoma alana za nyakati, mvua zinaendelea huko ukanda wa maziwa mkuu kupelekea ziwa victoria kujaa maji mpaka kuleta mafuriko bado hamjaelewa kinachoendelea?

Kuna jamaa mmoja ananipa habari kutokea sijui ndo wapi huko majita mkoani Mara, anasema maji ya ziwa yameongezeka mpaka kufika eneo ambalo toka kuumbwa kwa dunia hawajawahi kushuhudia.
 
unaongea nin mzee mbona sikuelew ebu naomba unyooshe kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…