Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waachane na vita wakajenge nchi yao. Hii itakuwa Afghanistani nyingineWalidhani ni madini kwa jinsi yalivyoonekana kwa nje kumbe ulikuwa no mtego.
Never trust anything on walking around.
View attachment 2974794
Tamaa mbaya, huyo mwenzao wa tatu akasali sana kumshukuru Mungu kapoea chupuchupu.Walidhani ni madini kwa jinsi yalivyoonekana kwa nje kumbe ulikuwa no mtego.
Never trust anything on walking around.
View attachment 2974794
Tutaamini vp kama wale ni wanajeshi wa russia?Kama kituo chako cha habari ni JF pekee lazima uhulize swali kama hilo.
Bado kuomba link 🙂!.
Zimepelekwa silaha za zaidi ya $billion 100 lakini maeneo yamezidi kuchukuliwa leo msaada walioutoa ni mdogo sn na Ukraine wameshakata tamaaWarusi wanachinjwa kama kuku kwa Sasa, maana silaha kutoka magharibi zinamiminika Ukraine kama mvua
Wanatembea kizembe au kama walevi fulani hivi,Ni viashiari vipi umeona mpaka utuaminishe kwamba wale ni wanajeshi wa urusi?
We nawe sasa ushakuwa kama mwehu. Tushakuzoea na ujuha wako. Mwenzako vunjo kashakubali matokeo yupo kimya.Warusi wanachinjwa kama kuku kwa Sasa, maana silaha kutoka magharibi zinamiminika Ukraine kama mvua
Hivi tatizo huna macho au Common sense, unasema mwenzie anamkimbia wapi wakati kwenye video mwanajeshi aliyepona anaonekana kukimbia mlipuko less than second mlipuko umetokea na mtu kukimbia unasema anakimkimbia mwenzieDaaha haya maisha haya nikumuomba Mungu, vita sio kitu cha kushabikia. Ukimuangalia jamaa anavyoaugulia maumivu hapo af mwenzake badala ya kumuokoa anatimua mbio, inatia huruma sana.
Hehe, watu wamepukutika hadi sasa wanataka kuingiza watoto vitani Ukraine kazi kwishaWarusi wanachinjwa kama kuku kwa Sasa, maana silaha kutoka magharibi zinamiminika Ukraine kama mvua