Tukio la Kikatili Lililowakuta Wanajeshi wa Kirusi Waliokuwa Wakisafisha Uwanja wa Vita

Tukio la Kikatili Lililowakuta Wanajeshi wa Kirusi Waliokuwa Wakisafisha Uwanja wa Vita

Daaha haya maisha haya nikumuomba Mungu, vita sio kitu cha kushabikia. Ukimuangalia jamaa anavyoaugulia maumivu hapo af mwenzake badala ya kumuokoa anatimua mbio, inatia huruma sana.
 
Tamaa mbaya, huyo mwenzao wa tatu akasali sana kumshukuru Mungu kapoea chupuchupu.
Nadhani atakuwa anatoa ushuhuda daily huko kwenye ibada au familia yake!.
 
Daaha haya maisha haya nikumuomba Mungu, vita sio kitu cha kushabikia. Ukimuangalia jamaa anavyoaugulia maumivu hapo af mwenzake badala ya kumuokoa anatimua mbio, inatia huruma sana.
Hivi tatizo huna macho au Common sense, unasema mwenzie anamkimbia wapi wakati kwenye video mwanajeshi aliyepona anaonekana kukimbia mlipuko less than second mlipuko umetokea na mtu kukimbia unasema anakimkimbia mwenzie
 
Mtoa mada umejuaje walidhani madini less than second wameona kitu na kulipukiwa
 
Warusi wanachinjwa kama kuku kwa Sasa, maana silaha kutoka magharibi zinamiminika Ukraine kama mvua
Hehe, watu wamepukutika hadi sasa wanataka kuingiza watoto vitani Ukraine kazi kwisha
 
Back
Top Bottom