Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

Pale chita kambini morogogoro kuna mwamba mmoja ambao chini yake kuna milango mitatu ambayo imefungwa na makufuli fulani sio ya sayari hii. Naskia walishajaribu kugonga hadi grenade lakini wapi. Inasemekana mle ndani kuna mali
 
Mkuu
Ungekuwa una update juu kwenye uzi
Huku unatupoteza
 
We mdwanzi nini sasa kwanini hukumalizia alikua anataka nn. Vile vile kama hujajaza mawazo mabaya kichwani mwako pia kwako tigo maana yake nini pimbi we
 
huna hata haya kusimulia kutoroka jeshi jinga wewe. kwa hiyo hapo umeridhika kula ugali wa shikamoo mama
ndio nyie tunawaimbaga kwenye chenja mananga wakubwa
Mkuu huko sikuiona vision yangu baada ya kuhitimu jkt nilitakiwa niingie tma nibebe 2stars hotels begani. Ila nikaambiwa mpaka nipitie RTS kwanza na huku wapo walioenda huko bila ya RTS na kumbuka wapo wanaotoka uraiani na kuzama huko direct tma bila ya majakata.

So nikaona sio Ishi life is not all about being in military. Pia ile lifestyle yao sikuipenda.

Ila mafunzo niliyapenda sana hata wanangu nitawapeleka wapate mafunzo ila sio kuwa wanajeshi. Sishauri
 
kufupisha habari sababu ni uzi wa watu

mimi sina habari yeyote wazee,laleni tu...

samahanini kwa usumbufu
Hahahaha dah mkuu utakuwa umetukatili sana watu wengi kwasababu ya kukosa uvumilivu kwa watu wachache wanaoshindwa kusubiri.

Umeshatuonjesha mkuu kwa heshima na taadhima naomba umalizie tu hii story nadhani wengi tutajifunza mambo mango.
 
Hii ni 2015, ni story tu niliyo ikumbuka baada ya kukutana na Rafiki yangu niliye kuwa nae kwenye tukio hili.

Kumbuka jamaa tulipotena katika heka heka za kutetea uhai wake kila mtu.

Tangu siku hiyo, ndio nimekutana nae juzi.
Mkuu,na.Mbongo kupigwa shoka na Mrundi ilikuwa 2015 ?
Maana ulipotea hapa kwa excuse ya kuwa Hospital kwa Mwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…