Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

Wahiwahi tuna hamu mkuu
 
Mkuu mimi nipo 50-50 niliookota pete 1 karibu na dukani lakini wakati nawaza kwenda kuuza kesho,nikasahau...jioni yake mwenye pete kaja. Akauliza nikamyumbisha kidogo nione. Lakini aliniambia hiyo pete huwa haipotei hata akiachaga kwenye gari hua anaipataga tu.
Akasisitiza nimpe tu mana mara ya mwisho alikua hapo nikampatia ile pete akasema hakuwa na wasi was sababu kashaidondosha mara zaidi ya 10 na hua anaipata. Niliogopa sana na sikuamini tena sio kila dhahabu inamfaa kila mtu nyingine zimechanjiwa
 
🀣🀣
Ungewahi kufanya hii biashara usingeuliza swali kama hilo...
Mimi ni Mdau wa hii biashara unaweza kutengeneza hata 600M na bd zikaisha ukatumia 300M Mia tatu nyingine ikaliwa ma shimo tena ..
Aiseeh hii kazi ni ngumu mno
 
Mike hali yako?

Pole sana mkuu,je kilichomtokea huko KJ Ni nini?!!
Jamaa alivyotoroka kambini wenzake kanikumbusha nilivyotoroka jeshini usiku Wa SAA saba na nusu nikipitia maporini yenye wanyama Wa kila aina ila nashukuru Mungu alikuwa upande Wangu nilitoboa nikafika home salama Sikh ya pili yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…