Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

hii imebak kuwa myth.mana nilishasikia huko kuna mlango una lok chin ya maji sasa duh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ile kuangalia tunapopandia kwenye kitanda kwa macho yangu tena kukiwa na giza nikamwona mtu amevaa kanzu nyeupe akiwa na mandevu kibao akifunua neti like naye apande kitandani...
Aisee kelele nilizopiga hazikuwa na mfano

Dah, ni bongo tu majini yanafunua neti ili yapande kitandani[emoji23][emoji23][emoji23]. Ndio kama ile ya kwenye bongo movie jini kuangalia kushoto na kulia kabla ya kuvuka barabara
 
Nipe maujanja ya glycerine

Nipe maujanja ya glycerine
kinachofanyika ni kuchanganya mercury na hicho kilainishi dhahabu hainasi kama inavyotakiwa na unashangaa kiwango ni fixed hata kama mmekamatisha watu wenye udongo tofauti...
utashangaa wote mnanasa point moja moja tu....af mwenzenu kamanda aliekuja na mercury yake mfukoni anaondoka na yai la mbuni..
 
hahahahaahaa daah nimecheka sana we jamaa et umetumiwa hadi wadada...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…