Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

Nyangarata hiyo 😀😀😀🤜🤛
 

Asante
 
Things i like to read leo nimeamua kufukua makaburi
 
Yaaani...Pesa bhana...watu wanakufa Kama kuku wa mdondo...alafu mnawapekua wakati hamkutakiwa kuwashika Kwasababu ya Ugonjwa.

Duuuuh

Mimi namikasa Yangu yamaisha Yangu natamani kuhadithia....siku ntakuja na ID Feki
Hii Mikasa ulishaitoa humu jukwaani
 
Mkuu miaka minne imepita toka utusimulie, upo salama, bado unawasiliana na hao viumbe kupitia mkeo?
 
Mkoa gani huo mkuu
 
Miaka inaenda sana
 
Funny🤣
 
nakufahamu nyumbanitu na hayo anayosema ni kweli kuna uchawi wa kufa mtu na huo msitu kwa nje in wa kawaida sana ila jichanganye uingie bila ruksa uone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…