Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

Nilichomoka camp kwa tahadhari, sikutaka mtu ajue tena zaidi yule mmalawi (huyu ni mmalawi sio mrundi )

Mdogo mdogo huku mvua ikinichapa, nilipo hakikisha nime ziacha hatua kadhaa zile camp nikawasha tochi yangu ya kichwani moko yangu begani taratibu nasonga na njia.

Nilitembea mwendo wa masaa kama mawili hivi, mvua ikinyesha, uoga ukaanza kuniingia, japo tuchi yangu ilikua ikiwaka vizuri tu, lakini nilipata tabu kuona mbele.

Kuna muda nilikua natoka nje ya barabara, yani napotea njia, mara nimeingia kwenye mashimo, uoga ukanizidi.

Nimelowa mpaka boxa ya ndani, meno yana tetema mpaka yanauma, hapo natamani atokee mtu na bange lake anitembezee.

Nilizidi kutembea huku nikitetema, mkono nilio shika moko vidole vyote vimekufa ganzi, Kiufupi nilijiihisi naota.

Mbele kidogo kuna korongo limezunguka, kikawaida makorongo haya hupitishaga maji, natangu naiwaza hii safar akili yangu ilikua hapa kwenye korongo, sababu kwa mvua ile ni lazima ningeyakuta maji yame jaa, na hakuna njia nyingine.

Chaajabu nililikaribia korongo nakulikuta korongo kavu, yani kuna vimaji tu vya ugoko, yani hata suruali hukunji.

Hapa nili shangaa sana, maana si rahisi kwa mvua ile, sehem ile isijae maji.

Nilitambuka mpaka ng'ambo ya korongo, hapo nikaendelea na safari.

Kadri nilivyo kua natembea ndivyo sasa mvu ikawa inapungua na hata ka mwanga nikawa nakaona kwa mbaali.

Hapa nikaona ngoja sasa nitwete niwasubiri wale jamaa waolikusudia kurudi kijijini.

Nilipo kaa pale, usingizi ukanipitia (kati ya vitu ambavyo hatuwezi kuviamrisha sisi wenyewe ni usingizi na haja kubwa, binaadam anaweza kulala hata kwenye dimbwi la maji ) nililalaaaaaaaaaaaa

Nitarudi muda si mrefu
Ndugu zangu sifanyi kusudi sema ndio vivyo tusamehane.
Dah kitoabu ushatukata stimu tena mpaka baadae
 
Nilichomoka camp kwa tahadhari, sikutaka mtu ajue tena zaidi yule mmalawi (huyu ni mmalawi sio mrundi )

Mdogo mdogo huku mvua ikinichapa, nilipo hakikisha nime ziacha hatua kadhaa zile camp nikawasha tochi yangu ya kichwani moko yangu begani taratibu nasonga na njia.

Nilitembea mwendo wa masaa kama mawili hivi, mvua ikinyesha, uoga ukaanza kuniingia, japo tuchi yangu ilikua ikiwaka vizuri tu, lakini nilipata tabu kuona mbele.

Kuna muda nilikua natoka nje ya barabara, yani napotea njia, mara nimeingia kwenye mashimo, uoga ukanizidi.

Nimelowa mpaka boxa ya ndani, meno yana tetema mpaka yanauma, hapo natamani atokee mtu na bange lake anitembezee.

Nilizidi kutembea huku nikitetema, mkono nilio shika moko vidole vyote vimekufa ganzi, Kiufupi nilijiihisi naota.

Mbele kidogo kuna korongo limezunguka, kikawaida makorongo haya hupitishaga maji, natangu naiwaza hii safar akili yangu ilikua hapa kwenye korongo, sababu kwa mvua ile ni lazima ningeyakuta maji yame jaa, na hakuna njia nyingine.

Chaajabu nililikaribia korongo nakulikuta korongo kavu, yani kuna vimaji tu vya ugoko, yani hata suruali hukunji.

Hapa nili shangaa sana, maana si rahisi kwa mvua ile, sehem ile isijae maji.

Nilitambuka mpaka ng'ambo ya korongo, hapo nikaendelea na safari.

Kadri nilivyo kua natembea ndivyo sasa mvu ikawa inapungua na hata ka mwanga nikawa nakaona kwa mbaali.

Hapa nikaona ngoja sasa nitwete niwasubiri wale jamaa waolikusudia kurudi kijijini.

Nilipo kaa pale, usingizi ukanipitia (kati ya vitu ambavyo hatuwezi kuviamrisha sisi wenyewe ni usingizi na haja kubwa, binaadam anaweza kulala hata kwenye dimbwi la maji ) nililalaaaaaaaaaaaa

Nitarudi muda si mrefu
Ndugu zangu sifanyi kusudi sema ndio vivyo tusamehane.
Mapema tu kama nimeota picha linaendelea saiv[emoji122]
 
Aisee mwamba umenikumbusha chimbo moja huko Katoro.

Kuna mzee alikua na eneo lake afu lina mali (dhahabu). Tumeenda kwa mtaalamu (mganga), akatupa masharti tusivute sigara, bange, kulala na mwanamke na mzee mwenye eneo alikatazwa asiguse chochote kitokacho ndani ya duara (shimo) .

Lile duara lilikua na miujiza sana ukizingatia haya mambo ya madini yanaendana sana na mambo ya kishirikina,,kuna watangulizi wetu waliwahi kuchimba hapo wakakosea masharti duara likaanza kutetemeka kila mtu akakimbia hakuna aliyerudi.

Tulipiga piga pale, aliyekuja kuharibu ni yule mzee mwenye eneo yaani....

Huu uchimbaji hasa wa dhahabu unamambo sana.

*Hapo kwenye masharti waliyokua wamepewa huko kwenu wasivute sigara, bange na wanawake ndo yamefanya nikumbuke hili jambo.
Haha mzee aliharibu kivipi Tena?😆😆
 
Mida ilienda jamaa walirudi kutoka kuzichoma zile maiti na story zikaendelea mpaka asubuhi.

Chaajabu siku hiyo jua lilichelewa kutoka, tukicheki saa ni saa kumi na mbili asbuh (mida tuliyo panga tuanze kazi) lakini hakuna dalili ya kuchomoza jua yani ni kama wingu la alfajir, ila kwa porini kunakua kama kuna ukungu hivi.

Hali ile ya ukungu ilitamba kwa muda mrefu, mpaka mida ya saa 2 asubuhi bado hatujaenda kazini.

Ile hali kila mtu ilimshtua, yani ilikua kila tukitaka kwenda kuanza kazi lakini ile hali inatupa wasi wasi

Mala ghafla mvua ikaanza kunyesha, huwezi amini, mwezi wa nane, lakini mvua utadhani mwezi wa pili vile.

Mvua ilipiga mpaka basi, yani mpaka jioni halijatoka jua, ilikua inapungua tu, muda si mrefu inamwaga tena.

Nakumbuka mvua ilipo kua inapungua ndio muda tulio tumia kujisaidia, yani ikipungua tu utasikia "mwenye gogo akakate ".

Mvua ile tulishinda nayo, tuka kesha nayo mpaka asubuhi.

Mvua haikukata mpaka ikaanza kutujambisha.

Siku ya tatu mvu inakamua tu, kumbuka tuna kalibia kumaliza week polini, lakini hakuna alievuta bange, sigara wala pombe.
Hivyo hali zetu zikaanza kuwa mbaya kutokana na alosto, ukizingatia baridi lake, sio poa.

Nathubutu sema sijawahi kuona mvua iliyo dumu kwa muda mwingi kama hii.

Nakumbuka kuna jamaa aliungua mkono kwa kuukumbatia moto kutokana na baridi.

Siku kama ya tano hivi, ubongo ukanisogea, akili ina niambia nimtoroke mrundi na ile dhahabu, tatizo mvua inayo piga ni kubwa, yani hata mbele uoni.

Tushukuru wengi tulikua na simu wengine saa hiyo ilitusaidia kujua muda, vinginevyo tusingekua tunajua kua huu ni usiku ama mchana?

Tukaanza mashauriano ya kurudi nyumbani, maana hali ishakua sio poa.

Hakuna mwenye uthubutu wakwenda kuchukua sururu na kwenda kuanzisha sonda.

Mashauriano yalidumu siku mzima, kuna watu tunaka turudi (mimi mmoja wapo) na kuna wengine wana fosi tubaki.

Tunao taka turudi tuko wachache, wengi wanataka tubaki, na yule mrundi nae anataka tubaki.

Lakini kati ya tunaodai turudi kuna wengine hata dhahabu hawana, hivyo wengine ilikua wako mguu ndani mguu nje.
Watu wanajiuliza tukirudi na mvua ikaishia na wenzetu wakafanya kazi wakarudi na dhahabu itakuaje?

Pale watu kama saba nane hivi niliona wako serious, na safari ya kurudi kijijini.

Mvua inaendelea kupiga, chaajabu hakuna radi wala umeta, yani ni mwendo wa kulowesha tu.

Akili ikaniambia, mimi ni mwanamme, nime zaliwa siku moja nitakufa siku moja, kufa kulala kaburi tuta.

Nilijipa moyo, kama liwalo na liwe, ila lazima nitoroke na ile dhahabu, kwanza mshikaji anazingua, namuambia tuondoke, yeye ananiambia tukomae, ukizingatia tumejuana kule kule polini.

Mimi na yule mrundi tunaishi camp moja kati ya zile mbili tulizo zijenga hapa karibuni.

Moto mkubwa (porini mvua hata inyeshe vipi, lakini kuni zitawaka tu ) mbele yangu nimenyoosha mikono kuota, huku mawazo yakinirudisha nyumbani, kitambo sijarudi home (Tanzania) muda mrefu sijamuona mkewangu na watoto wangu (hawa wanaishi Nampula).

Moyoni najua kua nilicho nacho (dhahabu) ni cha thamani, uchawi kutoka hapa nilipo tu, nikiingia mjini mimi ni mzungu.

Hapo sijui ni uzito gani, lkn nilisha kadiria kua pesa ya kutamba kwa mama Abuu ninayo.

Nilicheki kisimu changu cha tochi nikagundua ni saa 8 usiku, nikaona huu ni usiku sana, ila ikifika saa 10 alfajir nitoroke.

Kichwani nilijua kua lile kundi lililo apa kuondoka asbuh lazima litanikuta mbele nawasubiri.

Saa kumi alfajir, camp mzima ime lala, mvua kubwa nje inapiga, nikaona hapa sasa mchizi boti wacha nipotelee kizani.

Nikachukua moko yangu (moko ni kifaa cha kazi) tochi yangu, kama naenda kukojoa vile, mbele.

Nitarudi muda si mrefu.
Sawa
 
Mkuu ni stori ndefu, ila alikuja akashika mchanga uliotok duarani
Mkuu hiyo stori sio mbaya nawe ukishare nasi tukapata ya kujifunza zaidi coz zote zinahusu utafutaji katika swala zima la uchimbaji wa madini ya dhahabu. Naamini kuwa uchimbaji wa madini ya dhahabu unaendana na majini coz mdogo wangu aliokota pete ya dhahabu ina kidani chekundu juu yake baada ya dada wa kiarabu kufungua pochi yake ili atoe nauli na ile pete ikadondoka kwenye siti akiwa anaongea na konda huku akichokonoa chokonoa pochi yake. Dogo baada ya kuichukua alishuka kituo kinachofuata na break ya kwanza kwa bro wake ambaye ni mimi...
Sijui nami niseme nitaendelea Kama mkuu Kitoabu ?😂😂
Basi bhana, baada ya kunieleza nikatoka nae mpaka kwa sonara wa kihindi. Yule sonara baada ya kumuonesha tu alipandisha mashetani, eh alipoanza kupiga kelele kwa maneno ya kiarabu na kutimua mbio na watu wengine wote waliokuwepo pale jumlisha na sisi wote mbio huku nimeishikilia mkononi.
Tukakaa sehemu na mdogo wangu nikimhoji maswali huku nami nikianza kuiogopa ile pete. To cut the story short tukaenda kwa sonara mwingine Kariakoo naye ni muhindi ofisi yake ikiwa inanuka ubani tupu, alipoiangalia akatuuliza mmeipata wapi huku akitukazia macho. Hapa nikaona yasijeyakatokea yaleyale ya kule Ila imani yakupata pesa ilikuwa imenijaa nikamkazia kwa kumdanganya kuwa mama ametupa tuje kuiuza kwasababu anaumwa. Akatuangaliaa Sana huku akiiangalia Ile pete, bila kuipima wala nini akasema nawapa laki 5 na elfu alobaini. Aisee sikutegemea, mi nilijua tutauza laki ikizidi sana laki moja na nusu, Sasa kusema laki tano nikakubali fastaa...
 
Mkuu hiyo stori sio mbaya nawe ukishare nasi tukapata ya kujifunza zaidi coz zote zinahusu utafutaji katika swala zima la uchimbaji wa madini ya dhahabu. Naamini kuwa uchimbaji wa madini ya dhahabu unaendana na majini coz mdogo wangu aliokota pete ya dhahabu ina kidani chekundu juu yake baada ya dada wa kiarabu kufungua pochi yake ili atoe nauli na ile pete ikadondoka kwenye siti akiwa anaongea na konda huku akichokonoa chokonoa pochi yake. Dogo baada ya kuichukua alishuka kituo kinachofuata na break ya kwanza kwa bro wake ambaye ni mimi...
Sijui nami niseme nitaendelea Kama mkuu Kitoabu ?[emoji23][emoji23]
Basi bhana, baada ya kunieleza nikatoka nae mpaka kwa sonara wa kihindi. Yule sonara baada ya kumuonesha tu alipandisha mashetani, eh alipoanza kupiga kelele kwa maneno ya kiarabu na kutimua mbio na watu wengine wote waliokuwepo pale jumlisha na sisi wote mbio huku nimeishikilia mkononi.
Tukakaa sehemu na mdogo wangu nikimhoji maswali huku nami nikianza kuiogopa ile pete. To cut the story short tukaenda kwa sonara mwingine Kariakoo naye ni muhindi ofisi yake ikiwa inanuka ubani tupu, alipoiangalia akatuuliza mmeipata wapi huku akitukazia macho. Hapa nikaona yasijeyakatokea yaleyale ya kule Ila imani yakupata pesa ilikuwa imenijaa nikamkazia kwa kumdanganya kuwa mama ametupa tuje kuiuza kwasababu anaumwa. Akatuangaliaa Sana huku akiiangalia Ile pete, bila kuipima wala nini akasema nawapa laki 5 na elfu alobaini. Aisee sikutegemea, mi nilijua tutauza laki ikizidi sana laki moja na nusu, Sasa kusema laki tano nikakubali fastaa...
Sasa ikawaje baada ya nyie kuchukua fedha?? Au ndio mchezo ukaisha??

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Wajua ye aliweka heading ambayo iko nje ya uwezo wake[emoji28][emoji28][emoji28]

Na kama unavyojua JF wajuaji ni wengi, ndio pale mtifuano ukaanza wa kutunishiana misuli[emoji28][emoji28]

Hata hivyo yale maswali mliyokuwa mnamuuliza yalikuwa magumu, nimesoma nikacheka sanaa

Nilichompendea mhusika ni kuwa hakuwa anachukia wala kukata tamaa, ye aliendelea tu na yale aliyoweza mengine anayakaushia kama hayaoni na kudai amejibu maswali yote na simu yake mbovu haiwezi kuandika ujumbe mrefu
Ule ni moja kati ya uzi ambao ukiwa down na ukaupitia basi lazima mood itabadilika na furaha itarejea

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Hata ya kienyeji mengine wadau wakawa wanamsaidia tu

Nadhani uandishi ni tatizo siamini kwamba hafahamu ya kitaalamu na ya kienyeji[emoji3]
 
Mzee Kitoabu nawe upo kwenye list ya waleta faraja humu jf japo Kuna wengine tunawadai mastori wa Kwanza

jerrybanks na stori yake ya Mambo ya giza mwingine yule msimuliaji wa Vita ya Rwanda

Bossless sema simu yake ilipasuka stori ikaanza kuwa na utata japo tunamdai aje mwingine mzee wa Swizz

Parabora huyu Mwamba naomba uje na ID nyingine alete vitu vya Europe na malysia, Singapore huko, mwingine n

digba sowey na stori ya kushuudia uchawi sema ule Uzi ulivamiwa na walolokole mbaya zaid n single mamaz waliaribu Uzi, yule

Habibu B. Anga aendelee kuwauzia tuu wasioelewa stori za kucopy na kutafsir japo kutafsir n Kaz Ila kuuza sio mzee.

Kwa ujumla mnatupa vitu ambacho vipo Ila kwa maana nyingine sie wengine hatujakutana navyo na vinatupa funzo zuri katka maisha hvyo msisite kuleta stori Kama hzo Kwan usisimua akili na funzo pia hvyo tunawaomba mrejee kwenye nyakati za dhama zetu
Hahaha
 
Back
Top Bottom