Tukio la Moto lilitokea leo Magomeni Mapipa, na kuteketeza kila kitu

Tukio la Moto lilitokea leo Magomeni Mapipa, na kuteketeza kila kitu

olele

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2010
Posts
1,305
Reaction score
1,572
Kutokana na tukio la Moto lilitokea leo Magomeni Mapipa, na kuunguza kila kitu. Kwa wale wanaojua hilo eneo liko umbali wa mwendo dakika pungufu ya 10 TUkutoka makao makuu ya jeshi la zimamoto Tanzania na ukizingatia leo ni jumapili hakuna foleni, nyumba zilizoungua ziko barabarani kweupe kabisa.

Lakini hawa wakuu wameshindwa kuokoa nyumba zisiungue.

Je Jeshi la Zimamoto ni nini wanaweza kuzima???

au kazi zao ni kukusanya ada za Certificate na kufanya service mitungi

Screenshot_2022-01-23-22-08-08-11.png
 
Tatizo ni pana sana zaidi ya wazima moto wenyewe, changamoto imeanzia kwenye upangaji mbaya na hovyo wa miji yetu-kila mtaa ulipaswa kuwa na pipes kubwa za maji kwa ajili ya kusaidia magari ya zima moto kujazwa kwa haraka na kwa urahisi.
 
Kutokana na tukio la Moto lilitokea leo Magomeni Mapipa, na kuunguza kila kitu. Kwa wale wanaojua hilo eneo liko umbali wa mwendo dakika pungufu ya 10 TUkutoka makao makuu ya jeshi la zimamoto Tanzania na ukizingatia leo ni jumapili hakuna foleni, nyumba zilizoungua ziko barabarani kweupe kabisa.

Lakini hawa wakuu wameshindwa kuokoa nyumba zisiungue.

Je Jeshi la Zimamoto ni nini wanaweza kuzima???

au kazi zao ni kukusanya ada za Certificate na kufanya service mitungi

View attachment 2093196

C6BE09D7-2DEE-45F5-AA35-E92E579726EA.jpeg
 
Nadhani yale magari hayaruhusiwi kukaa na maji muda mrefu na kwa vile tukio la moto ni la nadra sana inakuwa ngumu magari kukaa na maji, pili nahisi wanyewe ujisahau na huwa wanafanya kazi hiyo tu ndio maana tukio lipatokea ni vigumu kumpata dreva na wasaidizi wake kwenda kwenye tukio.Kwa maana nyingine wahusika wanakuwa kwenye shughuli zao binafsi, haiwezekani kila tukio wachelewe, iwe mwanza, Dar, Mtwara nk kote tabia ni moja.
 
Kutokana na tukio la Moto lilitokea leo Magomeni Mapipa, na kuunguza kila kitu. Kwa wale wanaojua hilo eneo liko umbali wa mwendo dakika pungufu ya 10 TUkutoka makao makuu ya jeshi la zimamoto Tanzania na ukizingatia leo ni jumapili hakuna foleni, nyumba zilizoungua ziko barabarani kweupe kabisa.

Lakini hawa wakuu wameshindwa kuokoa nyumba zisiungue.

Je Jeshi la Zimamoto ni nini wanaweza kuzima???

au kazi zao ni kukusanya ada za Certificate na kufanya service mitungi

View attachment 2093196
Duu poleni sana wahanga

Hivi makalamkuu ana mahusiano gani na moto kuunguza mali za watu?!
 
Tatizo ni pana sana zaidi ya wazima moto wenyewe, changamoto imeanzia kwenye upangaji mbaya na hovyo wa miji yetu-kila mtaa ulipaswa kuwa na pipes kubwa za maji kwa ajili ya kusaidia magari ya zima moto kujazwa kwa haraka na kwa urahisi.
Hapo mkuu umechapia! Ni lini zimamoto walikuja wakapuliza maji waliyokuja nayo yakaisha? Mara nyingi huwa wanaenda kwenye matukio ya moto hawana maji! Labda kwenye upangaji wa miji ungesema sehemu nyingi hazifikiki kwa barabara. Upande wa pipes za maji mbona zipo kwenye mabomba ya MORUWASA (sijui huko kwenu mnaitaje hiyo mamlaka?)
 
Tanzania ni ardhi yenye watu wa ajabu sana, ni heri tu hilo jeshi la zima moto liondolewe maana hamna wanachofanya, kati ya matukio 10 ni tukio moja tu au mawili wanafika sehemu ya tukio muda muafaka.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom