Rodwell mTZ
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 1,455
- 1,621
Imechakazwa na moto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa Kama maji tu ya matumizi ya kawaida huwa yanapatikana kwa shida,itawezekana vipi kuwa na hydrants kama za US.Inaelekea mkuu either hujui uhalisia au umejifumba ufahamu, Swala la magari kuishiwa maji na hakuna options ni tatizo sana sana Tanzania na nimeshaona hii adha zaid ya mara moja,
-H alafu fire truck likibeba maji for a very long distance litafikaje kwa wakati liweze kuokoa mali, ni swala la common sense
Mfano-Mkoa kama Kilimanjaro mitaa ya uzunguni zamani wazungu waliweka sana hydrants na zingine mpaka leo zipo,na ni muhimu sana kwenye facilitation ya uzimaji wa moto. Kama umewahi kupata exposure ya kwenda USA nadhani utakuwa unanielewa vyema.
Mf. wa hydrants.
View attachment 2093557
Swali zuri sana, ukiitafakari Tanzania ni kama haijui inaelekea wapi, vipaumbele vyake havilengi kumsaidia mwananchi wa chini kama kupata huduma za msingi.Sasa Kama maji tu ya matumizi ya kawaida huwa yanapatikana kwa shida,itawezekana vipi kuwa na hydrants kama za US.
Mkuu, ulishaona nyumba iliyo teketezwa na moto?Hapo ni mjini? Mbona hata nyumba imechakaa namna hiyo? Bora wajenge mpya tu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nasasa wanatembea na bunduki kama majeshi mengine, wakija kwenye tukio hawana maji hakuna cha kuwafanya sana sana watawafyatulia risasi hewani mtawanyike
Ndio mkuu ila hiyo nyumba imechoka hakuna ubishi hapo hiyo nyumba kama haikujenga miaka 60 iliyopita labda ni 50 iliyopita.Mkuu, ulishaona nyumba iliyo teketezwa na moto?
Nyumba za walalahoi hizo,ingekuwa nyumba ya mkubwa inaungua,hata kama ingekuwa mbweni!zimamoto ingefikaKutokana na tukio la Moto lilitokea leo Magomeni Mapipa, na kuunguza kila kitu. Kwa wale wanaojua hilo eneo liko umbali wa mwendo dakika pungufu ya 10 TUkutoka makao makuu ya jeshi la zimamoto Tanzania na ukizingatia leo ni jumapili hakuna foleni, nyumba zilizoungua ziko barabarani kweupe kabisa.
Lakini hawa wakuu wameshindwa kuokoa nyumba zisiungue.
Je Jeshi la Zimamoto ni nini wanaweza kuzima???
au kazi zao ni kukusanya ada za Certificate na kufanya service mitungi
View attachment 2093196
Jamani si ushaambiwa zimechakazwa na moto?Au ulitegemea moto ungezifanya mpya?Hapo ni mjini? Mbona hata nyumba imechakaa namna hiyo? Bora wajenge mpya tu.
Duh!!!!!Sasa hapo nyumba iliyoungua iko wapi..
Hayo mabanda ya mbavu za mbwa ndio unaita nyumba
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app