Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Kwa taratibu za kawaida pamoja na upangaji mzuri wa miji. Hizi fire 'fire hydrant' zinapaswa kuwepo katika sehemu zake. Kwani ili gari la zimamoto lifike kwa wepesi na haraka sehemu ya tukio linatoka kituoni likiwa na maji kiasi na kujazia maji kwenye hizo 'fire hydrant'' zilizoko barabarani. Lakini kwenu ni kinyume ni sehemu chache tuna fire hydrant na Nina wasiwasi hata kama hizo zilizopo kama Zina fanya kazi. Hili la moto ni janga kubwa kwa miji yetu. Hawa wadau wa mipango miji wafanye kazi ya ziada kuweka miji yetu salamaHapo mkuu umechapia! Ni lini zimamoto ''walikuja wakapuliza maji waliyokuja nayo yakaisha? Mara nyingi huwa wanaenda kwenye matukio ya moto hawana maji! Labda kwenye upangaji wa miji ungesema sehemu nyingi hazifikiki kwa barabara. AUpande wa pipes za maji mbona zipo kwenye mabomba ya MORUWASA (sijui huko kwenu mnaitaje hiyo mamlaka?)
Umewatengea fedha za kujengea hizo mpya?Hapo ni mjini? Mbona hata nyumba imechakaa namna hiyo? Bora wajenge mpya tu.
Hi sababu neo imekuwa ikitolewa hivi karibuni.Tatizo ni pana sana zaidi ya wazima moto wenyewe, changamoto imeanzia kwenye upangaji mbaya na hovyo wa miji yetu-kila mtaa ulipaswa kuwa na pipes kubwa za maji kwa ajili ya kusaidia magari ya zima moto kujazwa kwa haraka na kwa urahisi.
Bibi nchi imemshindaHii picha yamaanisha Nini kiongozi?
Hakuna jeshi la zimamoto TanzaniaKutokana na tukio la Moto lilitokea leo Magomeni Mapipa, na kuunguza kila kitu. Kwa wale wanaojua hilo eneo liko umbali wa mwendo dakika pungufu ya 10 TUkutoka makao makuu ya jeshi la zimamoto Tanzania na ukizingatia leo ni jumapili hakuna foleni, nyumba zilizoungua ziko barabarani kweupe kabisa.
Lakini hawa wakuu wameshindwa kuokoa nyumba zisiungue.
Je Jeshi la Zimamoto ni nini wanaweza kuzima???
au kazi zao ni kukusanya ada za Certificate na kufanya service mitungi
View attachment 2093196
Umtoe askar kwenye viti virefu weekend aje akuzimie moto?...ingawa ndo kaz yake na analipwa mshahara..hahhahaKutokana na tukio la Moto lilitokea leo Magomeni Mapipa, na kuunguza kila kitu. Kwa wale wanaojua hilo eneo liko umbali wa mwendo dakika pungufu ya 10 TUkutoka makao makuu ya jeshi la zimamoto Tanzania na ukizingatia leo ni jumapili hakuna foleni, nyumba zilizoungua ziko barabarani kweupe kabisa.
Lakini hawa wakuu wameshindwa kuokoa nyumba zisiungue.
Je Jeshi la Zimamoto ni nini wanaweza kuzima???
au kazi zao ni kukusanya ada za Certificate na kufanya service mitungi
View attachment 2093196
Chali yangu siku hizi una nyodo hadi sio poa[emoji38]Hapo ni mjini? Mbona hata nyumba imechakaa namna hiyo? Bora wajenge mpya tu.
Inaelekea mkuu either hujui uhalisia au umejifumba ufahamu, Swala la magari kuishiwa maji na hakuna options ni tatizo sana sana Tanzania na nimeshaona hii adha zaid ya mara moja,Hapo mkuu umechapia! Ni lini zimamoto walikuja wakapuliza maji waliyokuja nayo yakaisha? Mara nyingi huwa wanaenda kwenye matukio ya moto hawana maji! Labda kwenye upangaji wa miji ungesema sehemu nyingi hazifikiki kwa barabara. Upande wa pipes za maji mbona zipo kwenye mabomba ya MORUWASA (sijui huko kwenu mnaitaje hiyo mamlaka?)
A very good and logical questions kaka, Accountability ni muhimu sana otherwise we are in the road to nowhere, na watu maskini ndiyo wanakuwa victimized.Hi sababu neo imekuwa ikitolewa hivi karibuni.
Wengi hatukujua.
Je, hata jeshi la zimamoto hawajui mahitaji yao yanayowawezesha kufanya kazi zao kwa ufanisi?
Kwa Nini hawaelimishi na kuhamasisha wananchi na serikali zaokuweka miundo mbinu hiyo?
Mbona wanahamasisha na hupita kukagua mitungi ya kuzimia Moto, badala ya kuangalia pia miundombinu ya ufanisi wa kazi yao Kama hizo pipes za maji nk!!!!