Tukio la msomali linatupa picha gani juu ya ugaidi..

Tukio la msomali linatupa picha gani juu ya ugaidi..

Mimi kuhusu JWTZ sioni sababu ya kuwashirikisha wako imara sina shaka YOYOTE!
Mpe heshima yake anaejitolea uhai wake kwa ajili yangu na yako.

Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
 
Mmm...ili tukio la msomali kupiga watu risasi hivyo lina maswali mengi...na ni kwanini mbele ya ubalozi wa ufaransa...na ubora wake wakutumia bunduki...unaleta maswali mengi.

Kama ni issue za ugaidi basi kuna somo la kujifunza ...kubwa...kumtambua fake gaidi na original gaidi.
Ubalozi wa ufaransa unatazamana na ulipolipuliwa Ubalozi wa Marekani.
 
IMG-20210825-WA0007.jpg
 
Mmm...ili tukio la msomali kupiga watu risasi hivyo lina maswali mengi...na ni kwanini mbele ya ubalozi wa ufaransa...na ubora wake wakutumia bunduki...unaleta maswali mengi.

Kama ni issue za ugaidi basi kuna somo la kujifunza ...kubwa...kumtambua fake gaidi na original gaidi.
LInatupa picha kwamba Ugaidi wa Siro kwa Mbowe ni fake, na kama Siro anataka kujua ugaidi ndio huo kaonyeshwa
 
Askari incompitent unamaanisha askari wa jeshi gani? Maana hii nchi ina majeshi ya kizembe ila haitazamwi wala haipendwi na wavamizi ndo maana matukio haya ni machache, hatuna ulinzi tupo incompetent sana mawazo ya kipuuzi fulani baada ya kushiba. Chukua bunduki nenda mipakani huko utulinde tuone umahiri wako wa ulinzi Jitu flani lisilo fikiri kuhusu wanayopitia majeshi ya ulinzi na usalama mpaka wewe upo salama kutoa maoni ya kishibe shibe.
Jeshi lisilo na weledi. Wangekua watano je. Weledi wetu kuonea chadema au raia wasio na silaha. Leo wamepata mbabe wao wameonyesha udhaifu kiwango cha sgr.
 
Mmm...ili tukio la msomali kupiga watu risasi hivyo lina maswali mengi...na ni kwanini mbele ya ubalozi wa ufaransa...na ubora wake wakutumia bunduki...unaleta maswali mengi.

Kama ni issue za ugaidi basi kuna somo la kujifunza ...kubwa...kumtambua fake gaidi na original gaidi.
Gaidi wa leo hajatumia hata laki sita lakini kuna watu wanadhani 600,000. hazitoshi kufadhili ugaidi
 
Baba Anjela tafuta kivuli pumzika na kunywa maji mengi. Haya mambo mengine achana nayo.

Nakusoma sana Chief, since “kabla ya” tukio la kwanza this early afternoon, your blueprint looks tarnished!!!

No hard feelings Chief. MG



Otherwise just a “wannabe in action!”
Stay blessed .
 
We unajiongelea tu wale wa kongo walioviziwa wakauwawa zaidi ya ishirini unadhani hawakuwa competent au umepandikizwa chuki dhidi ya POLICE.
 
Hatari sana.
Jeshi letu la polisi jepesi sana.
Sasa wakija hawa jamaa 100 si wanafunga Dar es Salaam nzima

“Jeshi lenu la polisi jepesi sana” ... kwamba “ wakija 100 kati yao hao wepesi , mtafunga Dar Nzima?!?

Kabisa?!?

Hebu Tupeni burudani !! Twende kazi [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]

Tupeni utamu [emoji3526]
 
Picha ni wazi kabisa, tuna askari ambao ni incompetent, corrupted na unprofessional wa kiwango cha lami.

Chief, pengine uko sahihi sana, Hebu jiachie!!

Unao ushahidi wa Incompetence, Corruption & Unpretentious kiwango cha uhalisia?!?

Nimekabwa pia!!!!
 
Back
Top Bottom