NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Mbona anafanana na injinia wa Uto?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona anafanana na injinia wa Uto?
Ubalozi wa ufaransa unatazamana na ulipolipuliwa Ubalozi wa Marekani.Mmm...ili tukio la msomali kupiga watu risasi hivyo lina maswali mengi...na ni kwanini mbele ya ubalozi wa ufaransa...na ubora wake wakutumia bunduki...unaleta maswali mengi.
Kama ni issue za ugaidi basi kuna somo la kujifunza ...kubwa...kumtambua fake gaidi na original gaidi.
Huyo ndio waliokuwa wakimtaka akina Siro na Sam sasa Mbowe aschiwe.Tulikuwa tuna hamu ya magaidi wameanza kuja sasa
Ni msomaliKwanini mnamwita 'msomali'? This is how xenophobia starts. Ni mtanzania.
LInatupa picha kwamba Ugaidi wa Siro kwa Mbowe ni fake, na kama Siro anataka kujua ugaidi ndio huo kaonyeshwaMmm...ili tukio la msomali kupiga watu risasi hivyo lina maswali mengi...na ni kwanini mbele ya ubalozi wa ufaransa...na ubora wake wakutumia bunduki...unaleta maswali mengi.
Kama ni issue za ugaidi basi kuna somo la kujifunza ...kubwa...kumtambua fake gaidi na original gaidi.
Basi wakome!Picha ni wazi kabisa, tuna askari ambao ni incompetent, corrupted na unprofessional wa kiwango cha lami.
Yuko zake anasubiri wale mabinti 72
Mia wanini mkuu, wangekuwa hata 2 au 3 tu leo stori ingekuwaje.Hatari sana.
Jeshi letu la polisi jepesi sana.
Sasa wakija hawa jamaa 100 si wanafunga Dar es Salaam nzima
Jeshi lisilo na weledi. Wangekua watano je. Weledi wetu kuonea chadema au raia wasio na silaha. Leo wamepata mbabe wao wameonyesha udhaifu kiwango cha sgr.Askari incompitent unamaanisha askari wa jeshi gani? Maana hii nchi ina majeshi ya kizembe ila haitazamwi wala haipendwi na wavamizi ndo maana matukio haya ni machache, hatuna ulinzi tupo incompetent sana mawazo ya kipuuzi fulani baada ya kushiba. Chukua bunduki nenda mipakani huko utulinde tuone umahiri wako wa ulinzi Jitu flani lisilo fikiri kuhusu wanayopitia majeshi ya ulinzi na usalama mpaka wewe upo salama kutoa maoni ya kishibe shibe.
Gaidi wa leo hajatumia hata laki sita lakini kuna watu wanadhani 600,000. hazitoshi kufadhili ugaidiMmm...ili tukio la msomali kupiga watu risasi hivyo lina maswali mengi...na ni kwanini mbele ya ubalozi wa ufaransa...na ubora wake wakutumia bunduki...unaleta maswali mengi.
Kama ni issue za ugaidi basi kuna somo la kujifunza ...kubwa...kumtambua fake gaidi na original gaidi.
Mkuu tafadhali uwe unatafakari vema kabla ya kutoa maoni. Ushauri wa burePicha ni wazi kabisa, tuna askari ambao ni incompetent, corrupted na unprofessional wa kiwango cha lami.
Mlipanga nae bajeti hadi ukajua hajatumia laki 6?Gaidi wa leo hajatumia hata laki sita lakini kuna watu wanadhani 600,000. hazitoshi kufadhili ugaidi
Baba Anjela tafuta kivuli pumzika na kunywa maji mengi. Haya mambo mengine achana nayo.
Na siyo gaidi na uislami siyo ugaidi. This guy alikuwa na issue na polisiKwanini mnamwita 'msomali'? This is how xenophobia starts. Ni mtanzania.
Hatari sana.
Jeshi letu la polisi jepesi sana.
Sasa wakija hawa jamaa 100 si wanafunga Dar es Salaam nzima
Picha ni wazi kabisa, tuna askari ambao ni incompetent, corrupted na unprofessional wa kiwango cha lami.