Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kipo ila kimepuuzwa...akili matope bwana!
Kwamba Iringa hakuna kilichoendelea,ama?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipo ila kimepuuzwa...akili matope bwana!
Kwamba Iringa hakuna kilichoendelea,ama?!
Lissu ni mpango wa Mungu, hata wafanye figisu vipi hawataweza na utakuwa mwanzo wa kutengeneza mtafaruku mkubwa
Huko atakako lala lazima afikirie mara mbilimbili juu ya ajira yake ya kupokea maagizoLissu katoa sauti ya mamlaka mpaka yule afande nilimuonea huruma, alikuwa kama kamwagiwa maji ya baridi!
Wewe siyo mtanzania nini? Hujui kuwa rais mtarajiwa kasumbuliwa?Nyamongo kumetokea nin
Wewe ni mchawi???Kuna nyuzi iko Live humu ya JohntheBaptist imepostiwa toka asubuhi mpaka saa hii sa kumi na moja kasoro robo ina replies 90 na views 3000 tu. Hii ni dalili mbaya kwa ccm.
Nyuzi iko live
Lissu ni sawa na maji yaani, usipo yanywa basi lazima utayaogaTuliona watu wanaosombwa kwa malori kwenda uwanjani lkn walikuwa bize na simu zao kumsearch na kumsikiliza Lisu ktk simu zao. Ilifika mahali hata mzungumzaji akaongea haraka ili akaangalie kwenye simu yake
Anataka atafutiwe binti wa Kigogo na Lusindena kazi yake ya kudhalilisha jinsia ya kike ndio imekuwa kiki kwake
Acheni kulialia, tulieni dawa iwaingie.
JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
Ushauri mzuri sana huuu, jamani wana jf hasa wale wapenzi wa mageuzi na wazalendo wa kweli tufuate huu ushauri ili ccm wadodeNI MUDA MUHAFAKA KUKATAA KUINGIA KWENYE UZI WOWOTE UNAO ONGELEA ISSUES ZA CCM, YAANI UKIONA BANDIKO LINAHUSU CCM PITA KAMA HUJALIONA.
Karagabao mchawi mkubwa kabisa
Haha hata mwenyekiti wenu amepaniki zaidi yenuKaragabao mchawi mkubwa kabisa
Acheni kulialia, tulieni dawa iwaingie.
JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
Nadhani Chama tawala wanakwama kwenye mikakati, nadhani dola inawaangusha wakiwa na Jambo lao.
Leo tukio la Polisi Nyamongo limechukua headlines social media nakufunika kampeni za Iringa zilizoandaliwa for five days. Hii kwenye siasa haitokei bahati mbaya, aidha Mwenyenzi Mungu anawachapa au binadamu wanawahujumu.
Ukikosea kwenye TIME and TIMING, Strategicaly umekwisha. Tunazidi kupotea kwenye ramani, gharama za kuzoa watu wilayani kuwapeleka mjini na kutumia wanafunzi mwisho wake ndo huu.
Siyo wakati wote dola inasaidia wakati wa uchaguzi dola ukasirisha zaidi wapiga kura.
NYAMONGO vs IRINGA
Dola hufanya Mambo Fulani kwa makusudi ili kulifikisha taifa kwenye best destiny Jambo Hilo linaweza kuwa baya kwa watu ila zuri kwa taifa ili mtu apumzishwe salama mfano waliosoma literature wanajua irony mtu akikuambia wewe mrefu kumbe mfupi hii ni irony Sasa Kuna binadamu anaitwa mnyenyekevu ila umma unajua hayuko hivyo hi ndio kazi ya kutukuka ya idara pendwa.Nadhani Chama tawala wanakwama kwenye mikakati, nadhani dola inawaangusha wakiwa na Jambo lao.
Leo tukio la Polisi Nyamongo limechukua headlines social media nakufunika kampeni za Iringa zilizoandaliwa for five days. Hii kwenye siasa haitokei bahati mbaya, aidha Mwenyenzi Mungu anawachapa au binadamu wanawahujumu.
Ukikosea kwenye TIME and TIMING, Strategicaly umekwisha. Tunazidi kupotea kwenye ramani, gharama za kuzoa watu wilayani kuwapeleka mjini na kutumia wanafunzi mwisho wake ndo huu.
Siyo wakati wote dola inasaidia wakati wa uchaguzi dola ukasirisha zaidi wapiga kura.
NYAMONGO vs IRINGA