Tukio la Rais Kikwete, Dr. Shein kukabidhiwa Rasimu ya pili na tume ya Katiba - Karimjee Hall

Tukio la Rais Kikwete, Dr. Shein kukabidhiwa Rasimu ya pili na tume ya Katiba - Karimjee Hall

Hii ni report tu rasmu ya Tatu baada ya bunge la Katiba itakuwa na serikali mbili hiyo ndo Wananchi wanataka,hayo mengine ya Tume na Warioba wao ni hasira za kukaa benchi muda mrefu.
Rasmu gani imemezwa na kipengele kimoja kikubwa na vingine hata havionekani?
Naona tumeanza kutania Historia na maslahi ya nchi.
Wishful thinking ya vichwa vya B7 huwa zinanishangaza sana mmekosa penati mtaweza kufunga kwa kona.

Mmeshindwa kuwa-convince wajumbe wa mabaraza ya katiba mliokuwa mnauwezo wa kuwahonga ubwabwa tu mtawaweza wajumbe wa bunge la katiba.
 
Ningeshangaa huu uzi upite hivi hiv bila hii kitu....

JK alishawaambia kama wanahitaji Kadhi court waende miskitini wakachangishane wapate pesa ndo waanzishe hzo mahakama.
Hatuhitaji hukumu za kinyama kama wafanyavyo boko haram, al qaeda, al shabab, taleban millitant, etc
 
Hawa tume sijawaelewa kwani hawajaweka mambo ya msingi wazi:-
a. Ukiwa na serikali 3 je hizo mbili zitakuwa na dola au zitakuwa kama serikali za maeneo lakini dola inabakia moja?
b. Je zikiwa serikali 3 maswala ya sarafu, benki, na mahusiano ya kimataifa yanakuwaje?
c. Je hizi serikali zitakagharamiwa na nani? Isije kuwa kodi ya mtanganyika ndio inahudumia Zanzibar au kodi ya mzanzibari inakwenda kuhudumia Tanganyika.

Na mengineyo mengi mfano mgombea binafsi inaruhusiwa? Je mahusiano ya serikali na taasisi za kidini je yamefutwa? Kama tunaamua kuwa secular government tuwe secular 100% kama religious government iwe religious 100% hatutaki unafiki.
 
Mkuu, utafutaje wakati huna mamlaka? Suluhisho hapa i serikali moja tu

Mkuu sijajua professional yake ni nini? Sio kila kitu kitaandikwa kwenye Katiba ya Muungano... Kama Serikali ya Tanganyika itaanzishwa lazima itakuwa na Katiba yake, Bunge lake na Serikali yake kwa hiyo itakuwa na mamlaka ya kiutawala kwa sehemu ya Tanzania bara... Sasa suluhisho lako la Serikali Moja haliwezekani kwa sasa.... Hili sio suala la CCM wala CDM ni Watanzania... Ila kwa inavyoonekana CCM ndo imeshindwa kuwaletea watanzania maendeleo kwa mfumo wa Serikali mbili ndiyo maana watanzania wameamua kuwapo na Serikali tatu.... Pigo kwa CCM
 
taasisi asilimia 90 imetaka serikali 3

nadhani shida ya serikali 3 kwa wengi wanavyoiona ni hiyo ya kuwa na marais wa 3 katika nchi moja labda hizo serikali nyingine ziwe na Makamu Raisi (Zanzibar hawatakubali)
 
Hawa tume sijawaelewa kwani hawajaweka mambo ya msingi wazi:-
a. Ukiwa na serikali 3 je hizo mbili zitakuwa na dola au zitakuwa kama serikali za maeneo lakini dola inabakia moja?
b. Je zikiwa serikali 3 maswala ya sarafu, benki, na mahusiano ya kimataifa yanakuwaje?
c. Je hizi serikali zitakagharamiwa na nani? Isije kuwa kodi ya mtanganyika ndio inahudumia Zanzibar au kodi ya mzanzibari inakwenda kuhudumia Tanganyika.

Na mengineyo mengi mfano mgombea binafsi inaruhusiwa? Je mahusiano ya serikali na taasisi za kidini je yamefutwa? Kama tunaamua kuwa secular government tuwe secular 100% kama religious government iwe religious 100% hatutaki unafiki.
Mkuu,
Kwani umeshasoma rasimu yote?
 
Hajuna refu lisilokuwa na ncha, machakato wa katiba unafikia ukingoni - JK

Mchakato unaanza waa kufiikia uamuzi ... Watimize wajibu wao ili tuvuke salama
 
Hawa tume sijawaelewa kwani hawajaweka mambo ya msingi wazi:-
a. Ukiwa na serikali 3 je hizo mbili zitakuwa na dola au zitakuwa kama serikali za maeneo lakini dola inabakia moja?
b. Je zikiwa serikali 3 maswala ya sarafu, benki, na mahusiano ya kimataifa yanakuwaje?
c. Je hizi serikali zitakagharamiwa na nani? Isije kuwa kodi ya mtanganyika ndio inahudumia Zanzibar au kodi ya mzanzibari inakwenda kuhudumia Tanganyika.

Na mengineyo mengi mfano mgombea binafsi inaruhusiwa? Je mahusiano ya serikali na taasisi za kidini je yamefutwa? Kama tunaamua kuwa secular government tuwe secular 100% kama religious government iwe religious 100% hatutaki unafiki.

Jamani amechambua vitu vichache tu lakin yote hayo yameainishwa. Kuwa na subira utapata Rasimu.
 
Wishful thinking ya vichwa vya B7 huwa zinanishangaza sana mmekosa penati mtaweza kufunga kwa kona.

Mmeshindwa kuwa-convince wajumbe wa mabaraza ya katiba mliokuwa mnauwezo wa kuwahonga ubwabwa tu mtawaweza wajumbe wa bunge la katiba.
Piga ua garagaza. Muundo ni serikali mbili
 
Hawa tume sijawaelewa
kwani hawajaweka mambo ya msingi wazi:-
a. Ukiwa na serikali 3 je hizo mbili zitakuwa na dola au zitakuwa kama
serikali za maeneo lakini dola inabakia moja?
b. Je zikiwa serikali 3 maswala ya sarafu, benki, na mahusiano ya
kimataifa yanakuwaje?
c. Je hizi serikali zitakagharamiwa na nani? Isije kuwa kodi ya
mtanganyika ndio inahudumia Zanzibar au kodi ya mzanzibari inakwenda
kuhudumia Tanganyika.

Na mengineyo mengi mfano mgombea binafsi inaruhusiwa? Je mahusiano ya
serikali na taasisi za kidini je yamefutwa? Kama tunaamua kuwa secular
government tuwe secular 100% kama religious government iwe religious
100% hatutaki unafiki.

mkuu kuwa na subira Rasimu nzima itakuwa kwenye mitandao utasoma na kupata majibu ya maswali yako! Warioba alichotoa ni kwa ufupi tu.
 
Kikwete bwana....anamdhihaki Lissu kuwa ni mtaalam wa sheria lakini pia ni bingwa wa kuchanganya hizo sheria huku wafuasi wake wakimuamini
 
Amemponda live na kusema ni mwanasheria machachari ambaye muda mwingine anawachangaya wenzake. Source: nipo mkutanoni.
 
Kwa maelezo ya Kikwete, Bunge la Katiba lina uwezo wa kuyatupilia mbali maoni ya Mzee Warioba.
 
Mkuu,
Kwani umeshasoma rasimu yote?

Mkuu,

Naisubiria kwa hamu kwani ikiwa serikali tatu tunalipia sisi walipa kodi hao 39000 mie nitakuwa wa kwanza kupinga serikali 3 badala yake iwepo serikali moja tu na kwakuwa tupo milioni 45 ukitoa 39000 wanabakia milioni 48 na laki 9 na elfu 61 ambao wakipinga hilo rasimu inapigwa chini. Tunaumia sana sisi walipa kodi na mzigo huu kodi ya serikali hizi mbili sembuse zikija 3????.
 
Wishful thinking ya vichwa vya B7 huwa zinanishangaza sana mmekosa penati mtaweza kufunga kwa kona.

Mmeshindwa kuwa-convince wajumbe wa mabaraza ya katiba mliokuwa mnauwezo wa kuwahonga ubwabwa tu mtawaweza wajumbe wa bunge la katiba.
We mshindonyuma hapa hatuzungumzii chama Bali Tanzania ijayo bila hivyo vyama.
Unapaswa kutupa faida na hasara ya mapendekezo hayo bila kuangalia upande wa chama chako cha wanywa gongo.
 
Back
Top Bottom