Shackshake
Senior Member
- May 27, 2013
- 187
- 44
Kwenye hayo makabidhiano Tanganyika inawakilishwa na nani?
Tena TANESCO mjiheshimu hatutaki kukatiwa umeme siku ya leo!
Mkuu, anayesubiriwa kwa sasa ni Rais JKMbona naskia tayari mambo yameanza kwanini hamtuhabarishi tena yaliyojiri., tutumieni na kopi 1 hapa tuanze kupitia nasisi
vyema sana dalili ya maridhiano,ccm kisha,mbowe anaelewa umoja ni nguvu na ZITTO ni jembe hapa MBOWE shule ya demokrasia kailewa
Na Zitto???!!!!
Mkuu, wewe unajitambua kweli? Au ni msukule?Swali muhimu sana hili....
dah! star tv wenyewe mbona hawaoneshi hili tukio?!
Mkuu, wewe unajitambua kweli? Au ni msukule?
Acha mawazo ya kibavicha.Maswali ya msingi kwann jk hafiki..kukabidhiwa tu anajiandaa nn
Mkuu, umesahau maneno ya akina Kitila kuwa Mwenyekiti wetu ni too local? Humuoni kwenye matukio ya kitaifa wala ya kimataifa. Dr Slaa anaogopa kipigo kutoka kwa Mume wa Josephine
Mkuu ndio anaingia nasikia ving'ora