Tukio la utata Kupotea kwa rubani wa Australia 1978

Tukio la utata Kupotea kwa rubani wa Australia 1978

That's the fact , Ila haiwi addressed kwa sababu italeta mtifuano wa kiimani
itabidi wajiulize Kuna miungu wangapi, na kwa nini Mungu wa aliens yupo hivi au vile ,.kiufupi alliens wame advance maana wanatu treat Kama vile sisi tunavyo wa treat viumbe Kama sisimizi au wadudu flan , hata haya magonjwa ya corona na mengine makubwa nawaza binafsi inawezekana tumenynyuziwa dose na aliens just like binadamu anavyonyunyiza dawa ya kunguni, na kunguni anakuwa hana hata clue ya kujiokoa.
Chembe ya ukweli hapa
 
Alikutana na mashetani ( majini ) maana Apo baharini na ni usiku
Loh
 
Back
Top Bottom