Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mbabe sana,dharau,mtu wa visasi,hapendi kuwa chini ya mtu,fitina,wivu,mchonganishi na kibaya elimu yake ya masters degree haimsaidii.Sakata lake wakati akiwa DC Singida na aliyekuwa mkuu wa polisi RPC S.Dau linathibitisha hilo.Ikumbukwe kuwa baada ya Singida aliamishiwa Tabora kuwa RC na baada ya muda mfupi kamanda Dau nae akaamishiwa Tabora kama RPC so akamkuta kandoro akiwa ndo bosi wa Tabora.Ilimchukua Dau miezi michache tu kuhamishiwa Reli kama kamanda wa Reli baada ya Kandoro kumkataa Tabora kutokana na visa vyao vya Singida.Alimwandikia mahita kuwa hamtaki Dau kwenye mkoa wake.
Lunyungu,
Tumefahamiana kwa siku nyingi mkuu katika masuala ya maisha kama haya tuweke tofauti pembeni pls kama una access huko penyeza jina langu I would prefer U-RC lakini kwa kuanzia hata U-DC sio mbaya
Kindly do the needful nakuamini
Huyo jamaa ni ziro kabisa,ofisi yake sasa hivi imekuwa centre ya kukutana na wapigakura toka Tabora ambao wanasafiri kila siku kuja kupiga soga nae na kumletea umbea wa huko.Wishimiwa, tumesikia data za Mh Kandoro, hebu tushuke pale Mwanza kwa Dr. James Msekela mnasemaje utendaji wake wa kazi kama mkuu wa mkoa kwa miaka miwili?
Huyo jamaa ni ziro kabisa,ofisi yake sasa hivi imekuwa centre ya kukutana na wapigakura toka Tabora ambao wanasafiri kila siku kuja kupiga soga nae na kumletea umbea wa huko.
Njoolay alianzisha gardens za watu kupumzika lakini sasa hata haziendelezwi. Sio hilo tuu,yapo mengi ila muhimu ni kuwa Mwanza kama jiji imemshinda.
Lizy nimepata tetesi kwamba JK na mshikaji wake Upinde wana nia ya kuongoza wanawake kwua wakuu wa Mikoa so kaa mkao wa kuitwa kwenye ufalme
Mtanzania,
Haya makubwa kwi kwi kwi, vipi yule jamaa yako msaidizi wa BWM?
Majita umetoa insight nzuri sana .Huyu jamaa yaani kandoro ana Masters ya kitu gani ? Mbona mie namuona mtupu sana ? Kiburi yeah anacho he can tell huhitaji kuuliza .Now kwa maana nyingine Pinda ameshapata msaada kama anautaka wa kumuondoa ama umwacha Kandoro.Lakini kwa kuwa Msemaji wa mwisho ni mzee wa Pwani mwenziwe nadhani kandoro kama Makamba ana mambo ya ajabu lakini naweza nasema linabaki kuwa chaguo la Mkwere !!!!!!!!!!!!!!!!!
Dr. Msekela, Mwana Tanzanet mwingine ambaye alipokuwa Sweden, tulikuwa tunapata cheche zake. Sasa mwambie aje hata kwenye mitandao, hawezi kukubali kwasababu amepewa nafasi na ameshindwa kudeliver yale ambayo tulikuwa tunajadiliana naye kila siku.
Ubunge wenyewe kabebwa mara zote. safari zote alishindwa ila NEC wakambeba kwa kuwaondoa washindi na kumweka yeye. Kuna safari alikuwa mtu wa tatu lakini bado wawili wa mwanzo wakaondolewa na kupewa yeye.
Ukianza kuona mtu anaanza kukimbia washikaji wa mwanzo, jua hapo kuna mambo
hayako sawa.
Nafikiri Waafrika tuna kaugonjwa kabaya sana kama anavyosemaga ndugu yangu Mkamap.
Tatizo la JF hatujuani kwa majina, maana mimi naandaa dossier ili mtu akipata ulaji, nimwambie ulisema hili na hili mbona hutimizi?
Niliokutana nao kule Tanzanet hao wote kila mtu nina file lake (kwi kwi kwi!!)