Tukipika kuku nyumbani, mimi nalishwa vipapatio, vitoto vyangu vya umri wa miaka 5 na 8 ndio vinalishwa mapaja. Je, hii ni sahihi wakuu?

Tukipika kuku nyumbani, mimi nalishwa vipapatio, vitoto vyangu vya umri wa miaka 5 na 8 ndio vinalishwa mapaja. Je, hii ni sahihi wakuu?

Huyo mama ana akili na anakupenda sana bwashee, the best part kwa kuku ni chicken wings, nenda popote uliza! Vidari vnatengenezewa salad hapewi mtu anayependwa na kuheshimiwa. Vipaja ni vya watoto siku zote kwa tuliofuga kuku tunajua.
And always the closer the meat to the bones the sweeter the meat. Nyama ya kipapatio ni tamu sana.
 
Wakuu Bwana Yesu asifiwe!

Ebana kuna issue inanitatiza halafu nimeshindwa kuizungumza kwa mhusika ambae ni wife nikaona nitafute kwanza mawazo humu.

Issue nzima iko hivi, ninavyojua kwa mila na ustaarabu wa kiafrika endapo itatokea familia ikachinja kuku basi baba ndiye mwenye kustahili kula mapaja ya kuku.

Sasa hapa kwangu sielewi wife ananichukuliaje, yaani kila kuku akichinjwa basi mimi father house ntalishwa vipapatio na vitoto vyangu viwili vya kiume vyenyewe ndio vinawekewa mapaja. Hii kitu wakuu inanishangaza kidogo as iko kinyume na mila na desturi za kiafrica.

Wife yeye kwao walikua ni mambo safi hivyo nadhani hawakua watu wa kujali vitu hivyo vidogo vidogo ndio maana anaona ni sawa tu mimi Baba kula vipapatio.

Wakuu, nitumie mbinu gani kumfikishia ujumbe kuwa siridhishwi na kulishwa vipapatio?
Ni sahihi, tena unapendelewa
Wewe ulipaswa kupewa miguu, utumbo na shingo.
 
Back
Top Bottom