1. Una miaka mingapi?kama nani vile mkuu?mara ngap madrid wamemtaka Rooney kawatolea nje?uyu beki mbili wa Arsenal(bellerini)mbna kakataa kwenda Barca
hebu tupe mfano wako ni mchezaji gani bora hata Useme China kama rafiki yangu Diego costa.
Hapa ndo umemdhihirishia kuwa yeye hafatilii mpira.Msimu huu
Real Madrid 1-1 Villarreal
Villarreal 3-0 Atletico
Villarreal 1-1 Barcelona
Mkuu..Tim gani atacheza pale epl? zote uchwara tu..yani atoke big team in the world aje mchangani!!! 😀Pale Hakuna mwenye ubavu wa kumlipa king.... Kwa lugha nyepesi tunaita mahaba niue.
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha!Yellow submarines......Ila ngoja tuone gemu la UEFA kati ya Sevilla mshindi wa nne laliga VS Leicester city Bingwa wa EPL.........nadhani hapa ndo utaona kuwa ligi ya EPL ni uchafu wa kutupwa
jibu swali.mkuuu?unazungumziaje wachezaji wa uingereza ambao wameshindwa kuprove kwenye ligi nyingine?
unazungumziaje timu za
uingereza kushindwa kuprove kwenye ligi ya mabingwa na europa.sevilla kila siku anachukua yeye na uefa madrid na barca wanapokezana kila siku kwanini timu za uingereza zinashondwa kuleta changamoto kama ni bora?
huwezi kuchukua kocha mmoja ambaye hajamaliza hata msimu mmoja ndiyo iwe kipimo chako.
dadadeki!Mkuu tuzo zile sio sababu za kusema mchezaji ni bora SUAREZ Alishasema ziko Kibiashara zaidi.
Mfano goli bora mwaka huu mchezaji sijui katoka Singapore sasa mlete huyo mchezaji acheze Epl na goli lake bora.
Muulize Memphis Depay atakwambia Siri ya Epl katoka Eredivise mchezaji bora kakutana na mwotto wa Epl yuko hoi.
We unakutana na Mtu na Ngolo kantee anakimbia kuliko mpira unategemea nini?
Epl.ipo nationality sna mkuu.Mimi nadhani kinachowashinda timu nyingi za EPL kwenye UCL ni fixture zao. Fixture za EPL ni ngumu sana na hamna kupumzika kama ligi nyingine, so mda mwingi wachezaji wanachoka lakini epl ni the best aisee.
Hao spain au german wangekua na fixture ngumu kama epl wangeshidwa tu.
umeongea.mkuuutimu za uingereza huwa hazina time na europa,ndomana timu kama spurs huweka kikosi dhaifu kwenye europa,sevila ndo malengo yake hayo,hana kombe lingne analoota
Wewe sio mnafki.Football inamawanda mkuu, mbinu anazotumia mwenzako sio utakazotumia wewe, nakubaliana na wewe ligi ya uingereza haina ufundi na hata wakikutana na wababe wa ligi nyingine wanahangaika Ila napenda ushindani wake hakuna timu kubwa wala ndogo ukizubaa unaliwa
majeruhi yalimwandama.mkuuVp kuhusu Owen, alifanya nini Madrid? Si alikuwa flop?
Na Suarez.hapa nimezungumzia Makocha na wachezaji sijataja ubora wa timu moja moja.
David berkam alitoka Man utd akaenda R.madrid bado akafanya vizuri,sawa sawa na Christian Ronaldo na pia Samir Nasri kuna Nzozi wote wanafanya Vizuri
sasa.ujue waigereza hawapendi.siasa za FIFA MKUU.yaani kocha bora ranieri lakin hakuna mchezaj wa timu yake aliyestahili kuingia kwenye kikosi cha dunia!?..inaingia akilin?..hivi kantelele hakufaa kuingia hapo,calwalker hakufaa,coutinho,sanchez,koscielny
Nani kasema mkuu.Wachezaji unaowaona ni bora sana uingereza wakienda barca au madrid watakaa bench maisha yao yote.
Kila mchezaji anapambana ainue kiwango pale uingereza akacheze barca au madrid
ukisema.hivyo.....mkuu wakija wao watakuchapavp ya Barcelona Na Las Palmas hukuona ufundi wa Boateng nn?
Sasa timu kama Atl Madrid kuna ufundi gani pale zaidi ya kupaki mzigo
aje uingereza umeambiwa mkuuAtoke Barca aende wapi?
Watu hutoka timu ndogo na kwenda timu kubwa
Halafu umtoe Messi Barca aende timu gani sasa
Gaucho alitoka timu ndogo PSG na kwenda timu kubwa Barca
Halafu Blatter hachagui mchezaji bora ni makocha ,captain+waandishi wa habari
Messi ni mchezaji bora wa wakati wote tafuta magwiji,makocha ,wachezaji walichozungumza juu ya Messi
Kama Pedro, Sanchez ,ozil wana perform ndio Messi ashindwe mchezaji ambaye hata umkate vipi haanguki ..
Playmaker,mchezeshaji,mshambuliaji yani kila sifa anayo
Nani kakudnaganya mkuu...?.ulimsikia golikipa.wa juvetus...2010.blatter ni facilitatorRushwa ya Blatter haihusiani na Tuzo
Ndio maana tuzo zikitolewa majina ya wapiga kura na waliowapigia kura huainishwa
Halafu kungine Blatter ni mwanachama mwenye heshima Real Madrid
timu inashinda 9 duhacheze hukohuko ligi ya wasichana
ukisali sna utaingia ufalume.wa Mungu ndicho unacho mainisha mkuu?Magwiji wanaojua soka hawawezi gusa ligi ya EPL maana hailei vipaji mfano Ronaldinho, zidane, messi, Rinaldo delima, rivaldo, figo, kaka nk nk wote Hawa wameikimbia EPL na ndo maana sishangai EPL imetoa balon Dior mbili sijui moja
UEFA ?wao ni Mungu?EPL ni maarufu na sio bora especially kwa east africa, kawaulize UEFA watakuambia ligi ipi bora