GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
EXCLUSIVE: "Nimeandika barua ya kuvunja mkataba na Yanga kwa sababu sijalipwa mishahara yangu kwa muda wa miezi mitatu sasa. Mimi ni raia wa kigeni unategemea nitaishi vipi hapa"-Lamine Moro mchezaji wa Yanga.
Chanzo Habari: Mtandao wa Shaffih Dauda Leo tarehe 7 Disemba 2019
EXCLUSIVE: Falcao ameomba kuondoka ndani ya Yanga kufuatia kutolipwa mshahara wake wa miezi miwili. Inaelezwa.
Chanzo Habari: Mtandao wa Saleh Ally ule wa salehjembe Leo tarehe 7 Disemba 2019
Naomba aliyewahi Kusikia mahala popote pale Mchezaji wa Simba SC analia ' njaa ' kama hawa Wawili wa Yanga SC aweke Ushahidi wake hapa kama huu uliowekwa hapa. Niliwaambieni Yanga SC kuwa huyo Mwenyekiti wenu ni Simba SC ' dam dam ' hamniamini na hivi tunamalizana nae ' Kimjini Mjini ' ili Kelvin Yondan atue rami Msimbazi dirisha dogo kwani Kocha mpya Ibenge kutoka DRC Congo na Pitso Mosimane kutoka Afrika Kusini wote wanamuhitaji Kikosini.
Na tarehe 4 January 2020 tunaenda Kumfukuzisha Kazi Kocha Mkwasa kwa Kipigo ' Kitakatifu ' kwa Mchina.
Chanzo Habari: Mtandao wa Shaffih Dauda Leo tarehe 7 Disemba 2019
EXCLUSIVE: Falcao ameomba kuondoka ndani ya Yanga kufuatia kutolipwa mshahara wake wa miezi miwili. Inaelezwa.
Chanzo Habari: Mtandao wa Saleh Ally ule wa salehjembe Leo tarehe 7 Disemba 2019
Naomba aliyewahi Kusikia mahala popote pale Mchezaji wa Simba SC analia ' njaa ' kama hawa Wawili wa Yanga SC aweke Ushahidi wake hapa kama huu uliowekwa hapa. Niliwaambieni Yanga SC kuwa huyo Mwenyekiti wenu ni Simba SC ' dam dam ' hamniamini na hivi tunamalizana nae ' Kimjini Mjini ' ili Kelvin Yondan atue rami Msimbazi dirisha dogo kwani Kocha mpya Ibenge kutoka DRC Congo na Pitso Mosimane kutoka Afrika Kusini wote wanamuhitaji Kikosini.
Na tarehe 4 January 2020 tunaenda Kumfukuzisha Kazi Kocha Mkwasa kwa Kipigo ' Kitakatifu ' kwa Mchina.