johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Baada ya heka heka za ufunguzi wa kampeni za CHADEMA huko Mbagala si vibaya makamanda mkapitia pale uwanja wa uhuru " shamba la bibi" kumshuhudia kijana wetu wa mwananyamala Dulla Mbabe akimchakaza Kiduku kwa knock out ya mapema kabisa.
Siasa siyo uadui, karibuni sana akina bwashee.
Maendeleo hayana vyama!
Siasa siyo uadui, karibuni sana akina bwashee.
Maendeleo hayana vyama!