Conquistador
JF-Expert Member
- Jun 10, 2024
- 1,435
- 3,463
Mpaka hapo hujagundua ni papa, tena mkubwa kabisa.Hii ni maajabu mbona hujataja bidhaa yenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka hapo hujagundua ni papa, tena mkubwa kabisa.Hii ni maajabu mbona hujataja bidhaa yenyewe.
Kumbe anauza samaki, wateja tupoMpaka hapo hujagundua ni papa, tena mkubwa kabisa.
Mungu awape maisha marefuPia wamekuwa msaada mkubwa sana kwa kataa ndoa, pongezi nyingi sana kwao.
Ingependeza sana na baada ya kuandika kamuoneshe itamtia moyo.Yule mama wa mihogo aliyenizoea mpaka ananipa offer kibao siku nyingine nakula bure naweza muandika hapa?
Hakika na wazidi kutoa huduma zao mpaka pale mashavu yatakapoanza kubadilika rangi.Mungu awape maisha marefu
Wa MLOGANZILA wamezisoma salam za pongezi watazifikisha 👏👏👏Binafsi nawashukuru wafanyakazi wa hospitali ya Mloganzila. These guys are doing a great job.
Pale UROLOGY Kuna wabobezi wawili wasio jua kuchoka au kukasirika, wao Ni kazi kazi. Yuko Dr. Isaka na mwenzake Dr. Mgaya. Vile vile pale CARDIOLOGY BE Kuna mdada anaitwa Dr. Roselyn.
Hawa watu hiduma wanatoa kutoka moyoni.
Hongereni Sana.
Tangu nimeonba huduma ya Internet home ss ni zaidi siku 90 ukipiga hawapokei, wakipokea hawana jibu linaloeleweka!Inasikitisha sana mkuu wajitathimini sana ila hilo shirika linachechemea.
Yabadilike mara ngapi bwashe? 😁Hakika na wazidi kutoa huduma zao mpaka pale mashavu yatakapoanza kubadilika rangi.
Hyo ni taasisisi ya serikali ya kutoa mikopo kwa watumishi wafanya biashara na wajasiliamali . Ipo makao makuu ya kanda zote, kahama na geita.Ipo wapi hiyo mkuu, pongezi nyingi kwao
Ni bora ukatafuta hiyo huduma kwingine kama wao hawaeleweki.Tangu nimeonba huduma ya Internet home ss ni zaidi siku 90 ukipiga hawapokei, wakipokea hawana jibu linaloeleweka!
😂 mara ya tatuYabadilike mara ngapi bwashe? 😁
Okay mkuuHyo ni taasisisi ya serikali ya kutoa mikopo kwa watumishi wafanya biashara na wajasiliamali . Ipo makao makuu ya kanda zote, kahama na geita.