mbere
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 6,967
- 6,465
Wakuu,
Baada ya kuhudhuria harusi kadhaa kuna wazo nimepata kutokana na changamoto ya uingiaji unayofanana kwingi Tanzania.
1. Kutafuta kadi kama za mwendo kasi au ATM, NMB wana uwakala nazo, unakuwa pia na Mashine ya kuscan hizo kadi kadri ya utakavyopewa majina na kamati ya harusi husika.
2. Kwenda kwenye kamati mbalimbali na kutafuta tenda za kadi hizo za kisasa kwa ajili ya sherehe mbalimbali. ( kwamba MTU hataweza kuingia bila kuwa scanned ) So utakuwa umeondoa udanganyifu.
Hivyo utaokolea kamati usumbufu wa kusimama mlangoni
Na utaondoa cheating kabisa.
Naomba kuwasilisha wazo la kibiashara toa maoni na changamoto zake.
N.B: Unaweza pia kuwa na sever kwa utendaji mzuri zaidi na pia uweze kumudu harusi nyingi kwa wakati mmoja n.k.
Baada ya kuhudhuria harusi kadhaa kuna wazo nimepata kutokana na changamoto ya uingiaji unayofanana kwingi Tanzania.
1. Kutafuta kadi kama za mwendo kasi au ATM, NMB wana uwakala nazo, unakuwa pia na Mashine ya kuscan hizo kadi kadri ya utakavyopewa majina na kamati ya harusi husika.
2. Kwenda kwenye kamati mbalimbali na kutafuta tenda za kadi hizo za kisasa kwa ajili ya sherehe mbalimbali. ( kwamba MTU hataweza kuingia bila kuwa scanned ) So utakuwa umeondoa udanganyifu.
Hivyo utaokolea kamati usumbufu wa kusimama mlangoni
Na utaondoa cheating kabisa.
Naomba kuwasilisha wazo la kibiashara toa maoni na changamoto zake.
N.B: Unaweza pia kuwa na sever kwa utendaji mzuri zaidi na pia uweze kumudu harusi nyingi kwa wakati mmoja n.k.