October mwaka huu watanzania watawachagua viongozi watakao pewa dhamana ya kuongoza nchi hii kwa miaka mitano (2025 - 2030).
Wale wataochaguliwa watakuwa wataunda mihimili ya serikali na bunge na wana influence kubwa pia kwenye mahakama.
Kuyafahamu majukumu ya Mbunge huenda itasaidia vyama vya siasa kupendekeza aina ya watu wanaoweza kutekeleza majukumu yao ipasavyo na pia wananchi watakuwa na choice zinazotakiwa badala ya watu wa kujaza namba tu kupiga makofi/meza.
Majukumu ya msingi ya Mbunge yanaendana na majukumu ya bunge ambayo ni pamoja na:
1. Kutunga/kuboresha/kubatilisha/kupitisha sheria
2. Kuishauri na kuisimamia serikali
3. Kupitisha budget ya serikali
4. Kuwakilisha wananchi, nk.
Sasa kutokana na majukumu hayo, unaona kabisa mbunge wa jimboni kwako atakuwa msaada kwa taifa?
Je, kuna haja ya kuwa na Mbunge aliyeshiba kielimu, mwenye uzoefu, anayependa kusoma vitabu, nk?
Ni sifa zipi za Mbunge twende nazo 2025?
Wale wataochaguliwa watakuwa wataunda mihimili ya serikali na bunge na wana influence kubwa pia kwenye mahakama.
Kuyafahamu majukumu ya Mbunge huenda itasaidia vyama vya siasa kupendekeza aina ya watu wanaoweza kutekeleza majukumu yao ipasavyo na pia wananchi watakuwa na choice zinazotakiwa badala ya watu wa kujaza namba tu kupiga makofi/meza.
Majukumu ya msingi ya Mbunge yanaendana na majukumu ya bunge ambayo ni pamoja na:
1. Kutunga/kuboresha/kubatilisha/kupitisha sheria
2. Kuishauri na kuisimamia serikali
3. Kupitisha budget ya serikali
4. Kuwakilisha wananchi, nk.
Sasa kutokana na majukumu hayo, unaona kabisa mbunge wa jimboni kwako atakuwa msaada kwa taifa?
Je, kuna haja ya kuwa na Mbunge aliyeshiba kielimu, mwenye uzoefu, anayependa kusoma vitabu, nk?
Ni sifa zipi za Mbunge twende nazo 2025?