Angalieni hapo ndo mtaelewa ligi bora na ikumbukwe msimu uliopita timu za EPL zilicheza fainali kote UEFA na UEROPA final,sasa sijui timu za Laliga zilikuwa wapiView attachment 1296417View attachment 1296419View attachment 1296420
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣 🤣 🤣 ndo uone kwamba sometimes soka ni ushabiki na siasa.Halafu bado tu huyo mbilikimo angepewa Balon D' Amor mwaka huu kama mwaka jana pamoja na kutofanya lolote la maana kwa timu yake na timu ya taifa lake.