Tukiwaambia La Liga ni ligi bora munabisha

Tukiwaambia La Liga ni ligi bora munabisha

Angalieni hapo ndo mtaelewa ligi bora na ikumbukwe msimu uliopita timu za EPL zilicheza fainali kote UEFA na UEROPA final,sasa sijui timu za Laliga zilikuwa wapi
Screenshot_2019-12-18-17-42-36.jpeg
Screenshot_2019-12-18-17-44-24.jpeg
Screenshot_2019-12-18-17-45-28.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu bado tu huyo mbilikimo angepewa Balon D' Amor mwaka huu kama mwaka jana pamoja na kutofanya lolote la maana kwa timu yake na timu ya taifa lake.
 
Back
Top Bottom