eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,379
Hat-trick 92 maisha yake yote
Mabao 4 mara 36 maisha yake yote
Mabao 5 mara 6 maisha yake yote
Mabao 8 mara 1 maisha yake yote
Miguu yake yote ilifunga magoli yasiyo na idadi
Kichwa chake kilifunga magoli yasiyo na idadi
Alikuwa na chenga ambazo aliemzidi ni garincha tu
Alikuwa na kasi ya sunami uwanjani
Ndiye mchezaji aliefunga bao bora kuwahi kitokea duniani santos vs juventus
Amecheza match 1385 katika maisha yake yote ya mpira kuliko mchezaji yeyote
Amefunga mabao 1280 katika maisha yake yote ya soka kuliko mchezaji yeyote
Bao lake la 1000 alifunga kwa penalty na mashabiki waliingia uwanjani kusherekea bao hilo kitu kilichopelekea mpira kusimama kwa nusu saa kuwaondoa watu uwanjani
Alianza soka la kulipwa akiwa na miaka 15 tu
Na hat-trick yake ya kwanza alifunga akiwa na miaka 15 mwaka 1956
Brazili haijawahi kupoteza match pele akiwa uwanjani
Takwimu ndio kila kitu zaidi ya hapo ni kudanganyana tu
Jamaa amechezea team 2 tu maisha yake yote huku akitumia muda wake mwingi santos
Fifa wanamtaja kama mchezaji bora kuwahi kuonekana duniani mpaka leo
Ni mchezaji pekee katika hii dunia alietwaa kombe la dunia mara tatu huku akiwa tegemeo kubwa kwa taifa lake la brazili
Mchezaji pekee aliekuwa akiumia mchezoni mashabiki wake wanamlilia mpaka arudi uwanjani
Na huyo ndiye mfalme wa kandanda duniani PELE
Mabao 4 mara 36 maisha yake yote
Mabao 5 mara 6 maisha yake yote
Mabao 8 mara 1 maisha yake yote
Miguu yake yote ilifunga magoli yasiyo na idadi
Kichwa chake kilifunga magoli yasiyo na idadi
Alikuwa na chenga ambazo aliemzidi ni garincha tu
Alikuwa na kasi ya sunami uwanjani
Ndiye mchezaji aliefunga bao bora kuwahi kitokea duniani santos vs juventus
Amecheza match 1385 katika maisha yake yote ya mpira kuliko mchezaji yeyote
Amefunga mabao 1280 katika maisha yake yote ya soka kuliko mchezaji yeyote
Bao lake la 1000 alifunga kwa penalty na mashabiki waliingia uwanjani kusherekea bao hilo kitu kilichopelekea mpira kusimama kwa nusu saa kuwaondoa watu uwanjani
Alianza soka la kulipwa akiwa na miaka 15 tu
Na hat-trick yake ya kwanza alifunga akiwa na miaka 15 mwaka 1956
Brazili haijawahi kupoteza match pele akiwa uwanjani
Takwimu ndio kila kitu zaidi ya hapo ni kudanganyana tu
Jamaa amechezea team 2 tu maisha yake yote huku akitumia muda wake mwingi santos
Fifa wanamtaja kama mchezaji bora kuwahi kuonekana duniani mpaka leo
Ni mchezaji pekee katika hii dunia alietwaa kombe la dunia mara tatu huku akiwa tegemeo kubwa kwa taifa lake la brazili
Mchezaji pekee aliekuwa akiumia mchezoni mashabiki wake wanamlilia mpaka arudi uwanjani
Na huyo ndiye mfalme wa kandanda duniani PELE