Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Hii midada yenye kubandika kucha ndefu huwa inanuka sana.
Inanuka wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii midada yenye kubandika kucha ndefu huwa inanuka sana.
Hii nayo kali.
Kinyesi sio uchafu kama yakiwa ndani ya mwili ila yakitolewa yakawekwa sehemu isiyostahili kuwepo ndo yanahesabika kuwa uchafu pia kucha ni hivyo hivyo zinabaki kuwa kucha hadi pale zitapokatwa na kuwekwa sehemu isiyo sahihi kwake kukaa.Kwa hii logic Bas hakuna kitu kichafu,,,utasema hata m*vi ni m*vi na uchafu ni uchafu
Duuh! Iv inatokea unahudumiwa chakula na mtu mwenye hayo makucha na unakubaliana nae kwa mujibu wa comment yako?Kucha ndefu ni kucha na uchafu ni uchafu ila kucha ndefu sana mi zinanikera naona kama mchawi wa muvi flani hivi ya kibongo mchawi makucha marefu akija kuwanga anavua viatu kwenye kapeti ananyatia kama anataka kukufanyia surprise
BInt ana kucha ndefu mkono wa kushoto unajiuliza, hivi huyu anajisafishaje?
Siwezi kubaliana nae kwa sababu ni kucha ndefu ila sio kwasababu ni uchafu hapana zinaweza zikatia kinyaa hata kama sio uchafuDuuh! Iv inatokea unahudumiwa chakula na mtu mwenye hayo makucha na unakubaliana nae kwa mujibu wa comment yako?
Sent using Jamii Forums mobile app
Biolojia gani inayosema m*vi ni waste product..?,Bas bwana ndo hivo...umesema?? M*vip sio uchafu yakiwa ndani? Mbona bado kwenye biolojia yanaitwa waste product