Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Kwa level ya digrii ya kwanza na entry level position (yaani wote wametoka shuleni bila kuwa na uzoefu wa kazi). Kwa wastani Mhandisi wa Tanzania atakuwa amechimba sana kuliko yule wa Marekani. Sasa swali lako hapa ni lipi?
Kwa level ya digrii ya kwanza na entry level position (yaani wote wametoka shuleni bila kuwa na uzoefu wa kazi). Kwa wastani Mhandisi wa Tanzania atakuwa amechimba sana kuliko yule wa Marekani. Sasa swali lako hapa ni lipi?
Sasa kama wasomi wetu "wamechimba" sana kuliko wa Ulaya na Marekani (ingawa ma theory na mavitabu wanayotumia mengi yametungwa na kuandikwa na wazungu) sasa kwa nini sisi hatuendelei?
Huku Nyani huwa una data!
Ila kule wewe na Mc Cain mshanichosha!
Kwa level ya digrii ya kwanza na entry level position (yaani wote wametoka shuleni bila kuwa na uzoefu wa kazi). Kwa wastani Mhandisi wa Tanzania atakuwa amechimba sana kuliko yule wa Marekani. Sasa swali lako hapa ni lipi?
McCain all the way!!
Sasa kama wasomi wetu "wamechimba" sana kuliko wa Ulaya na Marekani (ingawa ma theory na mavitabu wanayotumia mengi yametungwa na kuandikwa na wazungu) sasa kwa nini sisi hatuendelei?
swali langu ni kuwa kama wote wamesoma sawa au zaidi (nikichukukulia maneno yako at face value) ni kitu gani kinaweza kuwafanya wanapokuja kwenye utendaji wa kwetu wanaonekana hawawezi kufanya jambo wao wenyewe kwa kina na manufaa ya nchi na tukimleta mhandisi kama wao kutoka nje akaonekana kufanya kazi zaidi? Na hapa najaribu kufikiria wale vijana wa Kijapa ani wanaweza waliokuwa na Konoike wakati wa kutengeneza barabara ya Mbeya...
Nilicho observe personally ni kuwa sisi "tunachimba" sana kwa kutumia msuli, tunapapasa mitabu mingi sana, hatuhurumiani, tunapigana ma disco sana, kiasi kwamba tunatengeneza ma academicians waliobobea katika nadharia.
Wenzetu wanaweza wasifanye kazi sana kama sisi bali wanafanya yaliyo muhimu.Kwa mafano, kipindi kirefu kidogo kilichopita nikiwa primary nilipata kukaa na mtoto wa IST nikataka kujua wanavyofundishwa.Tukaanza kuulizana, formulaes tukafikia formulae ya kupata eneo la duara, mwenzangu akanipa formulae na historia ya formulae ilivyopatikana na kwa nini pi ni 22/7, basi mimi nilibaki mdomo wazi kwamba siku zote nimekuwa nikitumia pi kama 22/7 kama a given constant, wala mwalimu hakuniambia hii pi imetoka wapi na kwa nini ikawa 22/7.
In other words, elimu "yetu" ni mechanical zaidi, iko based kwenye kurudia kitu kile kile bila kikichunguza zaidi na iko canonical zaidi.
Wenzetu wanaenda kwenye mizizi ya vitu na hata hivyo vitu "vidogo" au visivyo "vigumu" wanavyosoma mitaala yao inawataka wavisome deeply.
Mwanakijiji, thats why EU wataendelea kulisha familia zetu huku akina Mkulo wakikubaliana na ujinga huo. Wanajua wanachofanya kwani wanauhakika wa kutengeneza faida na ajira ya watu wao licha ya uchumi wao kuwa Stagnant!
Sidhani kama wahenga walikosea kusema "Wajinga ndio ...😕".
Nilicho observe personally ni kuwa sisi "tunachimba" sana kwa kutumia msuli, tunapapasa mitabu mingi sana, hatuhurumiani, tunapigana ma disco sana, kiasi kwamba tunatengeneza ma academicians waliobobea katika nadharia.
Wenzetu wanaweza wasifanye kazi sana kama sisi bali wanafanya yaliyo muhimu.Kwa mafano, kipindi kirefu kidogo kilichopita nikiwa primary nilipata kukaa na mtoto wa IST nikataka kujua wanavyofundishwa.Tukaanza kuulizana, formulaes tukafikia formulae ya kupata eneo la duara, mwenzangu akanipa formulae na historia ya formulae ilivyopatikana na kwa nini pi ni 22/7, basi mimi nilibaki mdomo wazi kwamba siku zote nimekuwa nikitumia pi kama 22/7 kama a given constant, wala mwalimu hakuniambia hii pi imetoka wapi na kwa nini ikawa 22/7.
In other words, elimu "yetu" ni mechanical zaidi, iko based kwenye kurudia kitu kile kile bila kikichunguza zaidi na iko canonical zaidi.
Wenzetu wanaenda kwenye mizizi ya vitu na hata hivyo vitu "vidogo" au visivyo "vigumu" wanavyosoma mitaala yao inawataka wavisome deeply.
Ukiwa na elimu hii canonical, huwezi kuwa adaptive au innovative, utataka kila kitu kije kama textbook examples ulizozizoea, which is hardly the case.
Ukijifunza the underlying principles (kama vile kwa nini pi ikawa 22/7) sio tu unaweza kuwa adaptive, unaweza hata ku design vitu vya kuwezesha a breakthough in the next paradigm.
swali langu ni kuwa kama wote wamesoma sawa au zaidi (nikichukukulia maneno yako at face value) ni kitu gani kinaweza kuwafanya wanapokuja kwenye utendaji wa kwetu wanaonekana hawawezi kufanya jambo wao wenyewe kwa kina na manufaa ya nchi na tukimleta mhandisi kama wao kutoka nje akaonekana kufanya kazi zaidi? Na hapa najaribu kufikiria wale vijana wa Kijapa waliokuwa na Konoike wakati wa kutengeneza barabara ya Mbeya...
Mzee Pundit said:Nilicho observe personally ni kuwa sisi "tunachimba" sana kwa kutumia msuli, tunapapasa mitabu mingi sana, hatuhurumiani, tunapigana ma disco sana, kiasi kwamba tunatengeneza ma academicians waliobobea katika nadharia.
Wenzetu wanaweza wasifanye kazi sana kama sisi bali wanafanya yaliyo muhimu.Kwa mafano, kipindi kirefu kidogo kilichopita nikiwa primary nilipata kukaa na mtoto wa IST nikataka kujua wanavyofundishwa.Tukaanza kuulizana, formulaes tukafikia formulae ya kupata eneo la duara, mwenzangu akanipa formulae na historia ya formulae ilivyopatikana na kwa nini pi ni 22/7, basi mimi nilibaki mdomo wazi kwamba siku zote nimekuwa nikitumia pi kama 22/7 kama a given constant, wala mwalimu hakuniambia hii pi imetoka wapi na kwa nini ikawa 22/7.
In other words, elimu "yetu" ni mechanical zaidi, iko based kwenye kurudia kitu kile kile bila kikichunguza zaidi na iko canonical zaidi.
Wenzetu wanaenda kwenye mizizi ya vitu na hata hivyo vitu "vidogo" au visivyo "vigumu" wanavyosoma mitaala yao inawataka wavisome deeply.
Ukiwa na elimu hii canonical, huwezi kuwa adaptive au innovative, utataka kila kitu kije kama textbook examples ulizozizoea, which is hardly the case.
Ukijifunza the underlying principles (kama vile kwa nini pi ikawa 22/7) sio tu unaweza kuwa adaptive, unaweza hata ku design vitu vya kuwezesha a breakthough in the next paradigm.
Pundit,
Lakini elimu yetu si imeundwa kufanana na ile ya Uingereza? Au nimekosea hapa?
swali langu ni kuwa kama wote wamesoma sawa au zaidi (nikichukukulia maneno yako at face value) ni kitu gani kinaweza kuwafanya wanapokuja kwenye utendaji wa kwetu wanaonekana hawawezi kufanya jambo wao wenyewe kwa kina na manufaa ya nchi na tukimleta mhandisi kama wao kutoka nje akaonekana kufanya kazi zaidi? Na hapa najaribu kufikiria wale vijana wa Kijapa waliokuwa na Konoike wakati wa kutengeneza barabara ya Mbeya...
Sasa kama wasomi wetu "wamechimba" sana kuliko wa Ulaya na Marekani (ingawa ma theory na mavitabu wanayotumia mengi yametungwa na kuandikwa na wazungu) sasa kwa nini sisi hatuendelei?
Swali zuri sana:
Katika ufundi au uhandisi, taaluma moja ina matawi mengi. Kama ni Civil, kuna road construction, majumba, madaraja, reli, tunnels na mambo mengi ambayo kwa wasiosomea fani za uhandisi hawazioni.
Hivyo shule inajaribu kumpa mhandisi nadharia matawi yote lakini sio uzoefu wa kazi (experience). Hivyo kuwa na elimu nzito ya shule haikusaidii wewe kuwa mhandisi mzuri iwapo huna experience.
Kuna uwezekano mkubwa fundi wa Konoike ana uzoefu wa zaidi ya project tano kubwa za ujenzi wa barabara tofauti kuanzia mwanzo mpaka mwisho.
Kitu kingine ni kuwa, miaka mingi isiyopita graduates wa kitanzania walikuwa wanamaliza na kwenda kushika nafasi za uongozi. Kuwa afisa wa ujenzi wa wilaya au Mkoa. Na kwa mtaji huu ni wachache sana walioweza kufanya kazi za pamoja za kwenye projects ambazo ndizo zinazokupa uzoefu.
Vilevile Konoike ni kampuni la biashara (BIZNIS). Hivyo mafanikio ya Mhandisi wa Konoike sio yake. Mara nyingi ni mafanikio ya mfumo mzima wa Biashara wa kampuni ya Konoike. Hivyo wajapan wa Konoike waliweza kuacha kazi na kurudi kwao na wahandisi wengine kuchukua nafasi zao bila kuteteleka kitu.
Tanzania tulikuwa na Kampuni ya MECCO. Hii ilikuwa ni Kampuni ya biashara. Kampuni hii haikufanikiwa sio kwa matatizo ya wahandisi kutokuwa na taaluma bali ubaya wa BIZNIS model.
Ukiwa na BIZNIS model nzuri taaluma itashuka tu na tumeona mara nyingi makampuni ya kigeni yakichukua wahandisi wa kikwetu kufanya kazi nao na bila kulalamika.
Swali la kujiuliza kwanini Mhandisi wa kitanzania ana-fit katika BIZNIS model ya kampuni la kigeni na sio kampuni la kizawa?
KWANINI KABLA HATUJA CONCLUDE KUWA SISI NI WAJINGA TUSI ZINGATIE HAYA YA ALIYEWAHI KUWA MWANASHERIA MKUU..JAJI SINDE WARIOBA NA WENGINEO?
UJINGA UKO KWENYE UTAMBUZI WA VIONGOZI WAZALENDO?
:
Swali la kujiuliza kwanini Mhandisi wa kitanzania ana-fit katika BIZNIS model ya kampuni la kigeni na sio kampuni la kizawa?
Mkuu Pundit,
Mungai na Mama Sitta si wamekuja juzi juzi tu hapa? Mwanakijiji ameongelea Konoike...na kama kumbukumbu zangu zinanitendea vyema hawa Konoike walikuja baada ya Kajima...nadhani mwaka '85. Kwa nini wahandisi wetu na makampuni yetu hayakujenga hiyo miundombinu hadi tukawaajiri hawa Wajapenga? Sidhani kama Mungai na Mama Sitta walikuwa mawaziri wa elimu kipindi hicho. Natambua kwamba elimu ya msingi ni muhimu lakini hapa si tunazungumzia elimu ya juu (chuo kikuu)?