Tukubali tu: Sisi wajinga... (I know, it hurts)

Tukubali tu: Sisi wajinga... (I know, it hurts)

Kuna kitu kimebadilika?
Nop!! Bado tunapambana kutafuta wafadhili watakaoleta wawekezaji wageni wenye hela za kuwalipa wakandarasi wageni ili watusaidie kuchimba mitaro ya maji taka kwa mkopo tulioomba ugenini,hilo likifanikiwa tutapiga hatua kubwa,kwani mafundi wa kigeni watakuja na kutupa kazi ya kuchimba mitaro na kufukia mabomba,mungu atupe nini tena?
 
Kinachoniuma mm zaidi si ujinga wetu tu kwa sasa bali ni fact iliyopo kwamba ujinga utaendelea for centuries mpaka basi kwani hakuna juhudi zinazofanyika kuuondoa huo ujinga. Unlike other countries ambako uchumi ndio unaoendesha siasa hapa kwetu siasa ndizo zinazoendesha uchumi. So kila kitu kiinakuwa treated kisiasa. It's fun kwamba unachosikia toka kwa gavana ni completely different na utakachokisikia toka kwa waziri wake.I don't know ila inauma sana sana huko kwenye madini ndio usitake hata kusikia.
Yaani mnapewa mkopo toka je halafu pesa yote inarudi nje kupitia makontŕactà wa nje na wananunua vifaa toka nje mwisho wa siku mnarudisha mkopo na riba huko nje!! Halafu huu ni utaratibu wa kudumu!! Huu ujinga na upumbavu utaendelea hi j mpaka lini?
 
Miaka 13 iliyopita bado tuko palepale. Na hoja zenu zinanguvu sana sana.

Hii ni aibu kubwa sana kwa watawala hasa CCM.

#UziUrudiwe
 
Kinachoniuma mm zaidi si ujinga wetu tu kwa sasa bali ni fact iliyopo kwamba ujinga utaendelea for centuries mpaka basi kwani hakuna juhudi zinazofanyika kuuondoa huo ujinga. Unlike other countries ambako uchumi ndio unaoendesha siasa hapa kwetu siasa ndizo zinazoendesha uchumi. So kila kitu kiinakuwa treated kisiasa. It's fun kwamba unachosikia toka kwa gavana ni completely different na utakachokisikia toka kwa waziri wake.I don't know ila inauma sana sana huko kwenye madini ndio usitake hata kusikia.
 
Acha tu...
Mkiona majengo ya kifahari, watoto kusomeshwa nje, matibabu nje ya nchi, magari ya kifahari ya nje ya uwezo wao, inflated prices in goods at certain markets and shops, kuwalinda kina LUGUMI, nk nk. Mjuwe kuna watu wanafaidika na huu uhujumi uchumi!
 
BoT: We`ve no control over earnings by foreign firms

2008-05-09 09:20:15
By Patrick Kisembo


The central bank has said it has no control over the money foreign contractors generate in the country.

Bank of Tanzania Governor Prof. Benno Ndulu told a consultative meeting on Financial Management that it was difficult to control the income of foreign contractors as they won contracts as foreigners.

The meeting, organized by the Contractors Registration Board (CRB), was held in Dar es Salaam yesterday.
Prof. Ndulu said: If a company comes from Britain to work here at the end of the contract it will take back the money it has collected here, he said.

It is believed that foreign companies command more than 70 per cent of construction contracts in the country, a big chunk of whose earnings is remitted outside Tanzania.

Prof Ndulu said Tanzania would only manage to retain the remitted earnings when local contractors attain competence to compete equally with foreign firms.

Local contractors constitute about 97 per cent of all contractors in the country, although they garner only 30 per cent of the market share of the construction business.
The governor said the situation was disheartening for local contractors despite its importance and contribution to the national economy.

He cited lack of funding from financial institutions as one of the biggest challenges facing local contractors.
This is due to the fact that most of the local contractors are small with no tract record and lack collateral to enable them access loans from financial institutions, he said.

Prof. Ndulu said the BoT had taken measures directed at reducing interest rates which were still very high following financial institutions` use of treasury bills rates as a benchmark to set interest rates to bank customers.

The governor said contractors would now benefit following the government`s move to embark on second generation financial reforms including putting in place the Lease Finance Act that would also enable contractors to acquire equipment on lease basis for construction purposes.

He said the government had prepared a bill to amend laws that hinder the development of mortgage finance in the country.

We are currently administering, on behalf of the government, guarantee schemes which contractors can also utilize to access requisite financing from financial institutions, said Prof Ndulu.

CRB Registrar Boniface Muhegi admitted that foreign contractors benefited a lot owing to the fact that they were able to access finance, plant and machinery, as well as support, from their home countries or institutions.
CCM na madalali wao buku 7 hawawezi ku-comment kuhusu hii thread kwa sababu hawajui nadharia yoyote ya uchumi. Kama yule Lucas Mwashambwa mkulima wa Inyala Mbeya
 
Back
Top Bottom