PAGAN
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 12,181
- 20,148
Kila mtu atazame panapo mfaa. Mm binafsi nina miaka 16 sijawahi kabisa kuangalia mechi za EPL hata moja . Hata wanangu nyumbani marufuku Juve icheze alafu usiangalie. Thanks God wameshanielewa. Ni mechi za Juve + basketbal tu.
Huo unaitwa udikteta uchwara. Karma is a bitch, subiri wakue ukikaribishwa kwenye nyumba zao utalazimishwa uangalie Isindingo mwanzo mwisho .