Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,140
- 9,667
- Thread starter
-
- #21
Anajifanya hajui...,jibu ni simple sana sponsor alikuwepo uncle wake Mo dewji anaitwa AZAM DEWJI kipindi hicho Mo alikuwa marekani anasoma chuo ,familia yao imeiaidia simba for years toka enzi watu wanavaa jezi zimeandikwa taifa soap
Turudi 1974 tulipocheza na Mehala, napo hao watu wenu walikuwepo?Anajifanya hajui...,
Ndio maana nimemwambia aongelee hiyo 1993
Upo sahihi, lakini hicho sio kipindi cha njaa mkuu.Emmanuel Okwi, Patrick Mafisango (RIP), Juma Kaseja, Mohamed Hussein, ... Hao ni wachezaji wachache ninaowakumbuka kabla ya kuja mwekezaji wetu (Mo) na kutuletea wakina Chama na Miquissone
Okwi mara zote nchi hii analetwa na familiaEmmanuel Okwi, Patrick Mafisango (RIP), Juma Kaseja, Mohamed Hussein, ... Hao ni wachezaji wachache ninaowakumbuka kabla ya kuja mwekezaji wetu (Mo) na kutuletea wakina Chama na Miquissone
Cheka tu mkuu, huzuiliwiUzi unachekesha
Alikuwa mzee Dewji mwenyeweWakati tunacheza fainali 1993 huyo mtu wenu alikuwepo?
Acha roho ya kutu mwanaumeMo ni Tapeli ,Vibiriti vyake ni vya hovyo ,ukiweka sehemu yenye hewa kesho yake unakuta vibichi na haviwezi kufanya ignition ila anadanganya watu kuweka njiti kwenye maji na kufanya ignition...Mo ni Muongo na tapeli.
Acha roho ya kutu mwanaume
Unaweza kuelezea utapeli wake..?? Ni jambo baya saana kuongelea vitu ambavyo hata labda huvijui. Ile ni taasisi ina misingi yake. Na kuna vyombo husika viinavyosimamia hizo taasisi za michezo. Upo..?Mwambie aache utapeli huyo KANJIBAI.
Unaweza kuelezea utapeli wake..?? Ni jambo baya saana kuongelea vitu ambavyo hata labda huvijui. Ile ni taasisi ina misingi yake. Na kuna vyombo husika viinavyosimamia hizo taasisi za michezo. Upo..?
Hizo ni nyuzi tu una ushahidi..?Yaani haujui UTAPELI wa MO? Serious? Nyuzi kibao humu ndani za UTAPELI na UJANJA UJANJA wa mo zimewekwa ,tafuta utajua uTAPELI wake.
Mtoa mada amesema tujikumbushe wachezaji waliokuwepo kabla ya Mo mkuu hao pia walikuwepo before MoUpo sahihi, lakini hicho sio kipindi cha njaa mkuu.
Hicho ni kipindi ambacho yanga anakula 5