TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Ni huyo huyo...mkuu. Kitaa fulani pale katihahah! Huyu Izintit...., hahah! Labda sio nilowahi kukutana nae, maana alikuwa hamalizi sentensi bila kutupia hilo neno..., isn't it?
Ni huyo huyo...mkuu. Kitaa fulani pale kati
.Haha tosamawe hiiiDudu, asili ya jina silijua, he was really dudu.
Contra (kifupi cha contradictions) alikuwa 2nd Master wa ukweli, ukipitia mikononi mwake utamwona mchungu lakini ukiishamaliza shule, thamani yake ni kubwa mno.
DH Huyu alikuwa Mwalimu wa Kiswahili O-level, anaanza na jina la D, akawa anavaa raba za Double Hapiness (DH), aka Dingi Hajiwezi shuleni, kilabuni hadi kanisani. Hakuwa mnoko, alikuwa kimbilio la wanafunzi wakiwa na issues nzito. Nampenda sana, kwasababu ya busara zake tatizo ni kuwa alipata mshahara mdogo na akawa na dependants wengi.
Patriot....aah mwl. wangu Civics alituambia saana kuhusu uzalendo basi jina akapewa
Africanus...mwl wangu History alinifanya niipende History...Maruku S.S Bukoba
MANURE: adhabu yake kubwa ilikuwa kuleta samadi. Ikabidi aitwe manure. Mwingine tulimuita MR. SOOO. Alipenda kuongea sana hili neno. Mwalimu wa english F3 ilibidi tumuite SUFIX kwa sababu alianza kufundisha sufix na prefex.
Haha umenikumbusha huyu Mwalimu vile viatu vyake na vimiguu vyake na Moustach... hata sisi tulimuacha akiwa na hicho kitabia...1995 Pamoja na Kijo
Kuna Ticha jina nimelisahau Tulikuwa tunamuita Baiskeli akitembea kama ananyonga Baiskeli sababu ya ulemavu wa Mguu wake..
Kuna Teacher alikuwa anakaa Usa river akapewa jina la mama wa USA
GM Mlimkuta?
Kuna Teacher mmoja alikuwa anatumia english ya kwenye Dictionary kwa sana yaani akiongea ni vituko tu na alikuwa ni Mshamba mshamba hivi hata uvaaji wake na viatu lol jina nimemsahahu siku alikuta Wanafunzi kwenye Mikahawa wamedoja akawaandika majina wote na kila mwanafunzi alikuwa akimtajia majina ya wachezaji wa Yanga kuanzia Steven Nemes karibu list nzima... kwenye parade si ilikuwa wiki ya zamu yake akaanza kuita yale majina wajitokeze mbele si kicheko hicho kwa wanafunzi mstalini alipoona ujinga akawa anawadakua mmoja mmoja kwa sura huku akiwaita kwa yale majina wewe Minziro si nakuita huitiki jeuri sio....
Kijo bado yupo mpaka sasa pusi na mzee mungure washatngulia mbele ya haki hao wengine siwafaham nadhani walishaondoka
Mwenyezi Mungu azilaze Roho za Marehemu pahali panapostahili Amina...
Pusi alikuwa ana mikwara sana...
Bashahija vipi Yupo bado? Thobis nilisikia yupo Tengeru kama sikosei Teacher alikuwa cha Pombe sana na Fegi kwa sana... Kuna Wanafunzi wenzetu nao nimesikia wametangulia kama Goodson Magesa,Golden Elasto,Elisante Pallangyo... Mungu azilaze Roho za Marehemu pahali panapostahili
Mkuu bado waishi maeneo hayo? Dah Long time sana nikikumbuka
Mimi nliondoka mwaka 2008 taarifa nazipata kwenye mitandao tu halafu naona ni wakitambo kweli 1995
Mkuu mwaka gani huo?Mimi nimehitimu 2000 na history tulikuwa na ticha Felix Nyamwihula a.k.a Zinjanthropus