Tukumbuke majina ya utani kwa walimu shule tulikotoka

Kentow_mwalim wangu mkuu shule y secondary alikuw mkali knyamaaaaa an na alikuw ananyoa kipara
 
Mabesi: huyu alikuwa mwalimu wetu wa kemia na biology alikuwa ana sauti kama simba mzee
 
Kamtambo; mwalimu wangu wa shule ya msingi, alikuwa anachapa huyo kama machine.. Tukamuita kamtambo

Chief; ni mwalimu wangu tena wa shule ya msingi, yeye alikuwa anataka ela ya quiz wakati quiz ni bure.. Tukamuita chief

Mkuna K... Alikuwa anapenda sana wanawake.. Na jina lake anaitwa mkunala ... Tukamuita mkuna K
 
Ng'ombe alikuwa anachapa utadhani anaua nyoka.
 
# we masharabu weweeeeee
 
Doppler effect ! Uyu Ticher alichukua terms Nzima kutufundisha topic ya WAVE function form 6!!
 
Doppler effect ! Uyu Ticher alichukua terms Nzima kutufundisha topic ya WAVE function form 6!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo ni kibokoooh khaaaah, chezea phys weyeeeeh
 
Mwalimu dudu ,alikua mwalimu wa history alikua anatembeza stiki,afu alikua aoni aibu kujamba classπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
😁😁
 
Mungu anawaona
 
lufufu, dah huyu mwalimu bana alikua anakuja darasani anatutafsiria physical geography.
yani yeye anasoma tu kile kitabu anamaliza kufundisha.
 
Udaba alikuwa head master
Kirinyaga mwalimu wa kiswahili
Kichwa mwalimu wa History
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…