mwamba_ngori
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 251
- 294
Endamarariek KaratuShule gani hii?
Mbona kama namjua
Basi si hukoEndamarariek Karatu
Hili jina second master wa Kibasila pia alibatizwaSchool fees-head master mmoja alipenda kuwa anasisitiza Mambo ya school fees akajikuta kapata jina
Mr Mosha auMapua - headmaster wa 70s Pugu
Nimelisahau jina nadhani ndilo. 1974. Yule baba mweusi.Mr Mosha au
# we masharabu weweeeeeeNakumbuka baadhi ya majina ya walimu waliyopewa na wanafunzi kama ifuatavyo:
1. Solar system - mwalimu wa geograph form 1 au 2 alifundisha solar system akapatiwa jina hapohapo
2. Bambabay - mwalimu wa commerce form 3 alikua akielezea transport system,akaitaja bambabay ndio ikawa jina lake.
3.Magazijuto - mwalimu wa hisabati darasa la saba alifundisha magazijuto na yeye ndio ikawa jina lake la utani au aka
4. Chonya of chilimwa - mwalimu wa kiswahili secondary alisoma habari za chonya of chilomwa akawa ndio jina lake
tupeni majina zaidi
Ndo yeye aisee amefariki miaka miwili imepita nadhani sasa alichapa shule nzima kisha akawa hachapi tenaNimelisahau jina nadhani ndilo. 1974. Yule baba mweusi.
Mkuu kumbe alifariki! Alipenda kuchapa kweli. Apumnzike panapomstahili.Ndo yeye aisee amefariki miaka miwili imepita nadhani sasa alichapa shule nzima kisha akawa hachapi tena
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo ni kibokoooh khaaaah, chezea phys weyeeeehDoppler effect ! Uyu Ticher alichukua terms Nzima kutufundisha topic ya WAVE function form 6!!
ππ"Ni Kwamba"--huyu alikuwa mwalimu wetu wa Siasa enzi hizo. Alikuwa kila baada ya sentesi 2 anatumbukiza "ni kwamba",siku moja tukaamua kumuhesabia hizo ni kwamba zinakuwa ngapi ktk kipindi cha dk 45;jamaa yetu akahesabu zikafika 78,basi ndo likawa jina lake hilo.
Mungu anawaonaBABU= Mwl wangu wa Hisabati primary,umri ulikuwa umeenda
CHAI=mwl. wa nidhamu primary viboko alikuwa akiita chai
KJ= Mwl wa Motor vehicle mechanics alikuwa mdoko balaa wanafunzi wakambatizaj ina la Kubwa Jinga so wakalifupisha kuwa KJ,ticha akadhani wanamsifia basi siku moja akasimama parade na kuanza kujitapa "mimi ndiye Kamanda wa Jeshi au KJ wanafunzi hoi ila kuna baadhi ya maticha walijua mchezo wakamtonya mbona ilikuwa shida.
COMANDO= 2nd Master Secondary alikuwa mnoko balaa afu alikuwa kajazia kifua.
CALLIPER= mwl wa Engineering Science
MABALA=mwl wa English
NGOSWE/FASIHI= mwl wa kiswahili.
Arusha Tech Mkuu chuo alikuwa akiitwa Mbosoli wakati wa uongozi wake pale chuoni kulikuwa na mikate fulani midogo inaokwa kwaajili ya wanachuo tukaibatiza jina la "vimbosoli"