Tukumbuke majina ya utani kwa walimu shule tulikotoka

Paree: Alikuwa mwalimu wa somo la biology jina lake lilitokana na parenchyma πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hii wapi? Mkoa gani?

ISNT IT, mwl wa kemia f2 alikuwa kila baada ya sentens anasema isnt it ndo likawa jina lake.
NTAKULIMA, Alikuwa akikukuta na kosa anakuambia ntakulima bakora.
KISIKIO. Sikio lake moja lilikuwa kama limekatwa
 
Mwl. Kalaghabao popote ulipo nakusabahi sana
 
Diski mweku. ,, Mwalimu wa kiswahili alietueleza kwamba komputer kwa kiswahili ni diskimweku.. basi kuanzia huyo siku msela ni diski mweku hata leo
 
Liteacher letu la BIOLOGY A-level lilikuwa linafunga nywele badala ya kufuga kuku, tukalipa jina teacher k.mwaunywele
 
Anyone anamkumbuka mwalimu SIHUSIKI from kwakilosa secondary school
 
Makondoo..alikua ticha wa agriculture, alikua anapend kuita wanafunzi kondoo jina likamgeukia yeye siku alipojua wanamwita hivy shule nzma tukapig kura km ulishawah kusikia mwanafunz anaita unampigia kura af zinaenda kusomwa staff ilikua kam zoez l siku 3 iv
 
Kwa wanangu wa balangdalalu
Express - teacher wa English anapenda sana kuwaambia mwanafunz what's your problem express your problem.
Sharo - jamaa moja alikujaga katika chuo anatembea anadunda kinomah
Kuna siku tumedoji akatukimbiza tukakimbilia kwa shamba
Nilikuwa na mtaro wa maji machafu ulikuwa umeota majani ,tuka mtegea akadumbukia
Alisikika akisema ebhana dah kukimbizana nao ni noma

Kikotii/Survey - alikuja form 3 ,during survey na lafudhi yake ya kihaya akawa kituko ,suruali imeungwa kiunoni huyo Sam

Iyunga tech
Kiege- ticha wa ufundi
Mtanzania- anapenda kuita wanafunzi wa Tanzania
Zombie 1& zombie 2- mijamaa inatembea haileweki
 
Lomolomo - Mwl. Kiswahili
Waluwalu - Mwl. Maths
Bambucha - Mwl. English
Bajada - Mwl. Geography
 
Huyu fuvu alimrithi mapafu.alikuwa mkatili mno.

Kisu Ana bahati Sana tulimkosakosa yeye na nyumba yake kuchoma moto.alisababisha mgomo mbaya kabisa ambao ulileta uharibifu mkubwa mno.aliletwa shuleni kwetu baada ya kupata demotion huko wizarani,Basi hasira zake akaja nazo shuleni akaishia kusabibisha mgomo na vutugu.nakumbuka tulifukuzwa wanafunzi 45 hivi.
Lakini tunashukuru baada mgomo Hali ilibadilika na Mambo yakaboreshwa.umenikumbusha mbali bila kufukuzwa hapo ningekuwa mtu wa hivyo mno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…