Tukumbuke majina ya utani kwa walimu shule tulikotoka

YONDO = mwalimu wa kike mrembo hivi mrefu na akisuka nywele sijui ndo rasta ama wigi, enzi hizo mwanamuziki yondo sister alikua maarufu sana

DENSITY = alikuwa anatufundisha physics kidato cha kwanza topic husika. Kiukweli sikuaga namwelewa katu

PARA = kifupi cha paralysed, alikuwa ni mwalimu wa nidhamu tulimkuta akirecover baada ya kupata stroke miaka ya nyuma

Father SIO = alikua kila baada ya sentensi lazima aseme neno sio

ZAGALO = alikua mwalimu wa history pia kocha mzuri wa football
 

Na boxer wa English, Fuvu kweli Snoopy
 
1.Mlokole mshenzi- huyu alikuwa discipline master, kaokoka ila ukiingia kwenye 18 zake utajuta...hakuulizi ka unavuta bangi au huvuti ila unaulizwa unavuta bangi na nani? 2.Mtanzania- huyu alikuwa anaita wanafunzi watanzania...utackia eeh! eeh! Mtanzania why r u doing this..
 
Shukebi=huyu alikuwa mwalimu wa jiograph prmry,kuna neno la kingereza alikuwa anapenda ktlitumia silikumbuki vzr,kwa kuwa tulikuwa hatumwelew anatamkaje si 2kawa tunasema shubeki,likawa jina lake,jamaa mnoko,ilikuwa bora uchapwe na walimu wa5 lakin si yeye akugonge stik,akishika zamu ni balaa!no kuchelewa namba.
 
Shubeki=huyu alikuwa mwalimu wa jiograph huruma prmry,kuna neno la kingereza alikuwa anapenda kulitumia silikumbuki vzr,kwa kuwa tulikuwa hatumwelew anatamkaje si 2kawa tunasema shubeki,likawa jina lake,jamaa mnoko,ilikuwa bora uchapwe na walimu wa5 lakin si yeye akugonge stik,akishika zamu ni balaa!no kuchelewa namba.
 
Shubeki=huyu alikuwa mwalimu wa jiograph huruma prmry,kuna neno la kingereza alikuwa anapenda kulitumia silikumbuki vzr,kwa kuwa tulikuwa hatumwelew anatamkaje si 2kawa tunasema shubeki,likawa jina lake,jamaa mnoko,ilikuwa bora uchapwe na walimu wa5 lakin si yeye akugonge stik,akishika zamu ni balaa!no kuchelewa namba.
 
Jungle boy=yeye alikuwa akipenda kuisimulia movi ya turzan,huku akiwa anasema unatakiwa uwe jungle boy kama tarzan,tukampachika hilo jina,alipoligundua akawa anajiita mwenyewe jungle booooy! Kila aliposimama asmbl.
Maandazi=rly name mdm limo,yeye alikuwa na uvimbe kwnye shav kwa ndan,hvyo nje akawa anaonekana kama ameweka ki2 mdomon,so wadent wakawa wanantania anatafuna andazi.si unakumbuka enz hzo prmy ukinunua andaz unalitia mdomon zimazima wenzio wasikuombe?au unalitema mate lote ili wasiombe,ila kuna mitoto ilikuwa inakomaa inaomba,na ukiikatia inakula haijali.utoto bwana!prmary bwana noma!
 
Shubeki=huyu alikuwa mwalimu wa jiograph huruma prmry,kuna neno la kingereza alikuwa anapenda kulitumia silikumbuki vzr,kwa kuwa tulikuwa hatumwelew anatamkaje si 2kawa tunasema shubeki,likawa jina lake,jamaa mnoko,ilikuwa bora uchapwe na walimu wa5 lakin si yeye akugonge stik,akishika zamu ni balaa!no kuchelewa namba.
 
Parachichi, huyu mwalimu wangu wa biology f2, alikua anapenda kuita watu wa maparachichi pale pale akabatizwa, cku alipogundua anaitwa hivyo aisee alitembeza bakora drs zima, ila jina halikuisha.
 
Mwingine ni mwl sportman, alikua akiingia darasa ananuka sigara mpk kero, akifundisha kidogo anatoka nje anaenda kuvuta kwanza fegi, ahaa pale pale akapewa jina alikua yuko vizuri kwenye mathematics.
 
Cyborg-mwl.mkuu wangu primary alikuwa mrefu mweusi alafu katili sana,enzi hizo movie ya van damme na Cyborg ndio imetoka.
Baunsa-alikuwa anapga vyuma afu brazamen,ukimuona lazma uogope,lakini hana shida na mtu.
 
Dudu, asili ya jina silijua, he was really dudu.

Contra (kifupi cha contradictions) alikuwa 2nd Master wa ukweli, ukipitia mikononi mwake utamwona mchungu lakini ukiishamaliza shule, thamani yake ni kubwa mno.

DH Huyu alikuwa Mwalimu wa Kiswahili O-level, anaanza na jina la D, akawa anavaa raba za Double Hapiness (DH), aka Dingi Hajiwezi shuleni, kilabuni hadi kanisani. Hakuwa mnoko, alikuwa kimbilio la wanafunzi wakiwa na issues nzito. Nampenda sana, kwasababu ya busara zake tatizo ni kuwa alipata mshahara mdogo na akawa na dependants wengi.
 

Which means-mwalimu wa history tegeta high school,yupo hadi leo anafundisha history mpaka leo.
Baba ubaya-huyu alipewa hilo jina kutokana na kupenda kwake sana ugomvi na wanafunzi shule ya sekondari tegeta
 
kigonsera au kigonsese;jina la h/master aliyehamia PUGU BOY akitokea shule ya kigonsera
MABAGS; master minds..alikua anajua majina ya wanafunzi wooote
SHUNGU;jina la head master wangu uzuri prymary2000
 
Mmenikumbusha mbali na hayo majina.
Nilikua Kwiro secondari, headmaster wetu aliitwa Antony Magambo, sie tulimwita Mbwiko, mpaka leo sijui maana yake! Alikua mkali kama pilipili, hakua na kosa dogo , ni bakora kwakwenda mbele. Alitunyosha hakika. . . . Mungu ampe maisha marefu popote alipo.
 
'Itakucost bwana' maneno haya mwl wa nidhamu bwana Masamaki alikuwa akipenda sana kuyatumia, ndo likawa jina lake. Tuliokuwa tukitoroka siku za ijumaa kwenda mkorosho haramu (Ndanda hiyo) tunamkumbuka vzr,
 

Jamani Mwl Magambo yupo? Alikuwa second master Nganza miaka ya late 1980s!
 
mtaalam wa kilimo................ jina lake ni yohana sabaganga, mwalimu wa hisabati shle ya msingi balili bunda miaka ya 80s, sijui siku hizi yuko wapi? .....................alikuwa hodari kwa kusimamia kilimo cha pamba katika shamba la shule, ........................ila mboko zake zilikuwa balaa, ilikuwa kiboko kimoja =mkojo lita tatu, ............................sasa usiombe ukutane naye ukiwa na kesi ya kukwepa kwenda kulima pamba kwenye shamba la shule.........................
 
Be flexible - huyu alikuwa mwalimu wa Civics A-level Makongo High school, HGL-2 mwk 1999, tulimpachika jina hilo kutokana kile alichotufundisha na neno BE FLEXIBLE lilikuwemo. Siku moja kulikuwa mti ulidondoka kwenye paa na kishindo kilisikika, be flexible alikuwa wa kwanza kuchomoka darasani,wanafunzi tulibaki darasani tukimtumbulia tu! Alikuwa Mjeshi mstaafu, sijui yuko wapi sasa hv.
 
"mafimbo"
mwalimu alikua anaona siifa kuchapa watoto wa wenzie bakora huyu badala ya kusifika kwa kufundisha.**** sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…