The Priest
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 1,029
- 258
Hawana muda wa kukutafuta wewe,kwanini kwanza utafutwe? kwani umefanya kosa gani,kuwa makini kutumia uhuru wako,usiwape sababu ya kukutafuta..tumia vizuri key board yako.Topics kama hizi zinatumiwa na usalama wa taifa kujua we ni nani na uko wapi? Beware
Hahaaaaa bila shaka huyo atakuwa ni mwalimu Hesero ..Azimio Primary school (musoma)Kwa walisoma bwiru boys kuna mwalimu mmoja alikuwa anaitwa muganyizi au bega jina la utani,huyu bwana alikuwa balaa alifundisha engneering science,electronics,electrical engineering na electrical installation kwa wakati mmoja masomo yote na kufanya boys kushika nafasi za juu kitaifa enzi zetu..Minority-mwalimu wa radio and tv servicingmchizi-huyu ticha alikuwa ana mikwara sana na alikuwa na macho mekunduu all the timemwl mazuki-alisifika kwa kigari chake aina ya volkswagen(mwendo wa kobe)mmmh kweli tumetoka mbaliKana kwamba Alikuwa anafundisha Siasa - kila baada ya maneno mawili anasema kanakwamba....wakoloni watifufanya kanakwambaaa sisi sio binadamu kanakwambaaa ...halafu tulitoka utumwani kanakwambaaa...Kuna siku mwanafunzi alijibu mtuhani kanakwamba kibaoooo akakasirika sana
aha haaa,umenikumbusha mbali,cjui yupo wapi huyu mzee cku hizi,aliwahi kunityt,kisa nimeingia dini darasa la wahindi,palikuwa hapatoshi,alichukua madaftari yangu akakaa nayo karibu siku nzima!daaah
umenikumbusha mbali sana huyu ticha alishanipiga fimbo mpaka nkajikuta nauliza hiki nini, kunamwingine anaitwa kagashe naye ni noma.
mi namkumbuka mmoja tu kipindi nasoma rubya seminary mwalimu wa hesabu alikuwa akiitwa CHARCOAL
Mwalimu Domain, alikuwa anafundisha hesabu na alophamia shuleni kwetu topic aliyoanza nayo ni ya mambo ya domain na range. Kwa hiyo kila dakika utamsikia akiuliza what is the domain?
Haha umenikumbusha huyu Mwalimu vile viatu vyake na vimiguu vyake na Moustach... hata sisi tulimuacha akiwa na hicho kitabia...1995 Pamoja na KijoPUSI - huyu alikuwa Discipline Master "Makumix" pamoja na sifa nyingine alizokuwa nazo kwa madenti, alikuwa anatabia ya kunyemelea sehemu madenti wamepoa kwa story au kujisomea. Sometimz alikuwa anabadili mwendo kwenye giza ili tusimtambue. Sijui yupo wapi kwa sasa. This was 1998
Fiudo-mwalimu anyefundisha Civics, pat ya modes of production (Feudalism)
Exotic-Mwalimu aliyepewa jina baada ya kufundisha exotic breeds of livestock
Jamani Mwl Magambo yupo? Alikuwa second master Nganza miaka ya late 1980s!
mkuu huyo mwalimu alikua anavaa JINS,TISHET NA TAI? Mmmhhhhhh!!