Tukumbuke majina ya utani kwa walimu shule tulikotoka

Tukumbuke majina ya utani kwa walimu shule tulikotoka

"amap" -tosamaganga, mwalimu wa geography alikua anashimdwa tenganisha a na map anavofundisha.

"fyudo" -tosa, huyu alikua anapiga fimbo balaa hafu ni mwal wa history, so wakampa jina lake.

"lowasa"-tosa, teh teh, alikua ana nywele zina mvi full kichwa. nishawahi muita lowasa, aisee robo nifukuzwe shule, wakani handle kwakua mtoto wa mfanyakaz mwenzao

"ndanda cosovo"-tosamaganga, huyu nae alikua na nywele zina rangi kama ndanda cosovo mwanamuziki, ila huyu ticha hatupo naye (rip)

"majinsi"-songea boys, huyu ticha sijawahi muona kavaa siruali ya kitambaa zaidi ya jinsi. kuna dogo mgeni alienda ofisini akasema, namtafuta mwal majinsi, hahaha alilima rami.

"map"-songea boys, mwalimu wangu wa chemistry advance, hiko ni kirefu cha "man against people", sijawahi muona amekaa na walimu wenzie anapiga story, kivyake vyake tu, hatupo nae pia toka mwaka 2012, rip.

"daz baba"-songea boys, huyu mwalimu ni mwanamke , ila kafanana na daz baba mwanamziki balaa, hafu ni flat bottomed flask too, hana matiti makubwa wala makalio makubwa. akivaa suruali na tishirt na style yake ya kunyoa, unajua mshkaji.

"mazip" songea boiz, huyu alikua lab technician, tatizo suruali zake zote lazima a edit zip, hafu nguo zale zina zip si chini ya 4, yaani kila mfuko na zip, ata mashati ya kawaida anaweka zip, nadhani muoga wa kudondosha vitu

"dude"-songea boiz, huyu headmaster wa shule, jina linaongea yote, aisee jamaa anatisha hafu ni dictator
 
Ndoto ya ndalia mwl wa kiswahili,sikuwahi hata kulijua jina lake zaidi ya "ndoto ya ndalia"
 
Which means.. mwalimu wa history f 1 n 2, kila neno akiongea lazima akazie na which means. ndo likawa jina lake.
 
Baba shona - Huyu alikuwa hawezi kukuchapa viboko kabla hajasema ''BABA SHONA!!!!!!!!!!!!!!!!!""
 
Supervision Tanga Technical, mwl. wa hisabati huwa cjakua kwa nini alipewa jina hilo
 
Zuma =mwalimu wa historia
Majogge=second master
Bouyance=mwalimu wa fiziks
Izintit?=Material technology...
 
"Unanielewa"......akiongea kidogo anaweka unanielewa
 
kwa jina naiwa danford hamisi:leo nawatajia majina ya walimu wa sekondary na msingi
chanai,mbilinyi,kikwega,malisa,msemo,barige,masala,kabuti,kamvumvuri,senga,chelesi,fisi

na waakina madiwa na b.k hamisi iddy a.k.a baba radhia au shemeji
 
Mwalimu batavuzi!
Alikuwa ana kipikipiki kiduchu!

Mwalimu Kalio (dako) refu!
Mwalimu wa sayansi kilimo alikuwa ana kalio moja refu kuliko lingine!

Mwalimu lodilofa alikuwa na tumbo kuubwa miguu ka fimbo halafu suti ya mtumba hela hana!


Na mwalimu Wa Literature jina tulimuita (lawino) by the book Song of lawino
 
Kichwa cha nyoka alikuwa usagara anafundisha physics na jaribosi alikuwa anafundisha kiswahili late 70's
 
Zuma =mwalimu wa historia
Majogge=second master
Bouyance=mwalimu wa fiziks
Izintit?=Material technology...

hahah! Huyu Izintit...., hahah! Labda sio nilowahi kukutana nae, maana alikuwa hamalizi sentensi bila kutupia hilo neno..., isn't it?
 
"amap" -tosamaganga, mwalimu wa geography alikua anashimdwa tenganisha a na map anavofundisha.

"fyudo" -tosa, huyu alikua anapiga fimbo balaa hafu ni mwal wa history, so wakampa jina lake.

"lowasa"-tosa, teh teh, alikua ana nywele zina mvi full kichwa. nishawahi muita lowasa, aisee robo nifukuzwe shule, wakani handle kwakua mtoto wa mfanyakaz mwenzao

"ndanda cosovo"-tosamaganga, huyu nae alikua na nywele zina rangi kama ndanda cosovo mwanamuziki, ila huyu ticha hatupo naye (rip)

"majinsi"-songea boys, huyu ticha sijawahi muona kavaa siruali ya kitambaa zaidi ya jinsi. kuna dogo mgeni alienda ofisini akasema, namtafuta mwal majinsi, hahaha alilima rami.

"map"-songea boys, mwalimu wangu wa chemistry advance, hiko ni kirefu cha "man against people", sijawahi muona amekaa na walimu wenzie anapiga story, kivyake vyake tu, hatupo nae pia toka mwaka 2012, rip.

"daz baba"-songea boys, huyu mwalimu ni mwanamke , ila kafanana na daz baba mwanamziki balaa, hafu ni flat bottomed flask too, hana matiti makubwa wala makalio makubwa. akivaa suruali na tishirt na style yake ya kunyoa, unajua mshkaji.

"mazip" songea boiz, huyu alikua lab technician, tatizo suruali zake zote lazima a edit zip, hafu nguo zale zina zip si chini ya 4, yaani kila mfuko na zip, ata mashati ya kawaida anaweka zip, nadhani muoga wa kudondosha vitu

"dude"-songea boiz, huyu headmaster wa shule, jina linaongea yote, aisee jamaa anatisha hafu ni dictator

hahaa pia kumbe kijana mboy sema huyo dude sijampata au sweke ndo kapewa hiyo
 
Back
Top Bottom