Tukumbuke maneno ya baba wa taifa 1995 "Siwezi kuiacha nchi yangu iongozwe na mbwa"

Tukumbuke maneno ya baba wa taifa 1995 "Siwezi kuiacha nchi yangu iongozwe na mbwa"

Mfuata haki

Member
Joined
Jun 13, 2013
Posts
24
Reaction score
8
Baba wa taifa mwaka 1995 wakati wa kampeni za kumnadi Mkapa alisema hawezi kuiacha nchi yake iongozwe na mbwa,wengi hawakumuelewa kipindi kile kwa kudhani alimaanisha wapinzani hasa Mrema ambaye alikuwa juu kipindi kile,tujaribu kukumbuka ni watu gani Mwal Nyerere alikuwa akiwapinga kupewa madaraka makubwa ndani ya chama,na vile vile kupinga wasichaguliwe kuwania uraisi wakati ule,kwa sasa tunaona kile alichokimaanisha Mwalimu wakati ule kwani wale aliowapinga,wanatuonyesha fika ni kwanini Mwalimu aliwaita MBWA,kwani mbwa ni mroho wa mifupa siku zote na yuko tayari kufanya chochote ili abaki na mfupa wake na wengine wasipate hata kama ni kuua yuko tayari,TUKUMBUKE MANENO YALE NA NI YUPI ALIYEKATALIWA NA MWALIMU KIPINDI KILE????.
 
i cant leave my country with a DOG.
alikua anamaanisha hawezi achia nchi kwa watu kama jeikei na pinda.
hakua anamaanisha Lyatonga au wapinzani.
ona hawa watu kama hawastahili hivyo vyeo ,angalia Nepi,Chemba,yule sokwe wa Gombe,mzandiki lukuvi na timu yao yote.
RIP mwalimu.
 
Alikusudia Wapinzani ndio MBWA wakati yeye Ndie alikuwa ni MBWA No. 1
 
Baba wa taifa mwaka 1995 wakati wa kampeni za kumnadi Mkapa alisema hawezi kuiacha nchi yake iongozwe na mbwa,wengi hawakumuelewa kipindi kile kwa kudhani alimaanisha wapinzani hasa Mrema ambaye alikuwa juu kipindi kile,tujaribu kukumbuka ni watu gani Mwal Nyerere alikuwa akiwapinga kupewa madaraka makubwa ndani ya chama,na vile vile kupinga wasichaguliwe kuwania uraisi wakati ule,kwa sasa tunaona kile alichokimaanisha Mwalimu wakati ule kwani wale aliowapinga,wanatuonyesha fika ni kwanini Mwalimu aliwaita MBWA,kwani mbwa ni mroho wa mifupa siku zote na yuko tayari kufanya chochote ili abaki na mfupa wake na wengine wasipate hata kama ni kuua yuko tayari,TUKUMBUKE MANENO YALE NA NI YUPI ALIYEKATALIWA NA MWALIMU KIPINDI KILE????.

Mbona sasa hivi inaongozwa na haohao!
 
Neno mbwa likitumiwa na nkamia ooh anatukana na huyo mbwa wa mwalimu ni yupi?

"To know the enemy is half the victory"
 
Dogs halikubeba maana ya mbwa kama unavyofahamu wewe, Fungua kamusi ya kiingereza ujue maana nyinginezo za neno dogs
 
Kati ya makosa makubwa sana ya Nyerere baada ya kustaafu siasa ilikuwa ni hilo; yeye alitaka Chama chake tu ndicho kiongoze nchi na kujikuta amejishuhsia hadhi ya ubaba wa taifa kwa vile alikuwa ni mlezi wa CCM. Maneo hayo aliyatoa kupinga NCCR-magezi isichaguliwa na ndiyo maana alizunguka nchi nzima kumpigia kampeini Mkapa. Unfortumately kwa kufanya hivyo ndipo alipoacha nchi hii mikononi mwa mbwa wa kiswahili anayekula bila kunawa.
 
Pamoja na mapungufu yake kama binadamu mwingine yeyote bado namkubali sana huyu mzee alikuwa anajua kukemea kuonya na kuadhibu pale ilipobidi lakini kwa kutumia njia sahihi, Natamani angekuwa hai mpaka leo nchi isingekuwa hivi ilivyo sasa
 
Kwa hiyo unabii haukutimia?

Halafu jitu linaloongea kauli kama hizo (kama ni za ukweli) leo watu wanataka wampe utakatifu?

Amma kweli.
 
Dogs halikubeba maana ya mbwa kama unavyofahamu wewe, Fungua kamusi ya kiingereza ujue maana nyinginezo za neno dogs

Mbona sasa kaiacha? Mbaya zaidi sasa inaongozwa mpaka na nguruwe.
 
Baba wa taifa mwaka 1995 wakati wa kampeni za kumnadi Mkapa alisema hawezi kuiacha nchi yake iongozwe na mbwa,wengi hawakumuelewa kipindi kile kwa kudhani alimaanisha wapinzani hasa Mrema ambaye alikuwa juu kipindi kile,tujaribu kukumbuka ni watu gani Mwal Nyerere alikuwa akiwapinga kupewa madaraka makubwa ndani ya chama,na vile vile kupinga wasichaguliwe kuwania uraisi wakati ule,kwa sasa tunaona kile alichokimaanisha Mwalimu wakati ule kwani wale aliowapinga,wanatuonyesha fika ni kwanini Mwalimu aliwaita MBWA,kwani mbwa ni mroho wa mifupa siku zote na yuko tayari kufanya chochote ili abaki na mfupa wake na wengine wasipate hata kama ni kuua yuko tayari,TUKUMBUKE MANENO YALE NA NI YUPI ALIYEKATALIWA NA MWALIMU KIPINDI KILE????.

.
LAKINI BASI tumjadili huyu Kiongozi mwenye Tabia za Mbwa tuone. Yukoje Na tuiconclude statement ya Mzee wetu huyu.
.
1:-By the way Mbwa humlinda binadam so mbwa ana umuhimu Wa kipekee sana. Tofauti Na sasa ambapo binadamu hatulindwi ndio kwanza tunanyukwa mabom Na kulipuliwa Na serikali yetu.

2:- Mbwa hajui rushwa, ufisadi, hajikusanyii mali, si mlevi
Yeye anabite tu Penye makosa. So mbwa ni Muhimu sana Kwa Tanzania ya Leo. Kiongozi wetu Ws leo Hana memo, wazi, wala rushwa waziwazi wanapeta tu.

3:-mbwa yuko alert 24 hours, halali fofofo so ni Muhimu sana Kwa kulinda Uchumi na Rasilimali Za Nchi yetu visikwibwe na Mijitu ya ufisadi wa kukufuru. Kiongozi wetu wa Leo wako Na usingizi mzito sana kiasi ulinzi wa Mali Na Rasilimali zetu uko NJE NJE. Imagine Wachina, wamarekani wanakuja kujichotea tu Mali hizo hizo ambazo babu alisema waachiwe watanzania wakikua watachimba wenyewe.

3:-Mbwa kila siku yuko home akiilinda Nyumba but kiongozi wetu yuko bize masafa huyooo, kila siku anajibataaaz majuu si mbaya sana lakini..

4:- mbwa wana Uwezo wa kunusa hatari, lakini Kiongozi wetu Wa Leo Hapana hatari inayonuswa, inteligencia yetu pua zake zishaziba siku mingi sana kiasi mpaka mabomu yanawalipukia wananchi hawajanusa kabisaa harufu ya Hatari.

5:- mbwa hupandiana tu Kwa vipindi vya jotoridi lao Kwa ajili ya uzazi tu Na the rest of the time wanachapa Kazi, lakini VIONGOZI wetu wa Leo wanapandiana pandiana tu all the time Na kuwa Na utitiri wa nyumbakubwaz Na ndogoz Na matotoz plus kudisturb future ya mabint zetu..

Inatosha bana wasije ning'oa kucha bure
 
So nadhani Mwalimu alimaanisha hatamwachia Kiongozi mkali that time Bali kipofu but now is a time for dog style leader
 
Back
Top Bottom